I miss my ex man so much jamani

I miss my ex man so much jamani

Huu pia ni ukweli mchungu, wewe umeweka wazi tu lakini nafikiri baadhi ya wanawake wanafanya hivyo. Kuna jamaa yangu alitafutwa na X wake wiki moja kabla hajaolewa. Ujumbe aliopewa ni kama huu wako japo wewe umeongeza manjonjo.
 
Kuna ka pepo flani ka kutojielewa kana kunyemelea.

Umejoin leo leo.

Tayari una mume umempata JF.

Na tayari una una EX unaemmisi.

Ptuuuh.
haahhaaha humjui..
huyu ni member mkongwe humu ana zaidi ya miaka mitano..
mambo ya fake na new id apate ujasiri wa kuandika haya..
akimsliza anarud ikwenye id yake tulioizoea.
 
To my x love

Only God knows how much I miss my x sweetheart, E nimekumiss sana just send me even a message to say Hi!

I loved you so much. You were the second man in my love life but you were the first man to show me how love tastes.
Mwanaume wa kwanza kabisa kunifikisha kileleni na hajawahi mwingine na sijui kama atatokea tena wa kunifikisha huko. Wewe ndie mwanaume uliyenifundisha nini maana ya mapenzi & for that I will never ever forget you.

My x love you always come in my dreams at night. I dream kissing you, I dream the way we used to hug on bed till we fall asleep, I dream of your hands caressing my back gently, I dream of your priceless smile.....

You were so kind my love I remember how you stood by my side during the difficult moments I went through. There was a time I wanted to kill myself but your sweet words kept me moving on May be now I could be 6 feet down on earth.

Sweetheart when I met you I was more than mshamba but thanks to you you introduced me to the world of wajanja hahahaa you used to say 'abunuasi' For the first time you I went to mwanza by plane and stayed in that classic Mwanza hotel for 3 days thanks so much honey that meant a lot to me.

Honey I know kuna mambo nilikuudhi mengi sana naomba nisamehe kuna vitu nilisema maybe hukutegemea kama ningesema nisamehe mpenzi x.

Last but not least I want to tell you that I am getting married to a Botswanian yeye pia nimempata humuhumu JF kama nilivyokupata wewe my wedding shall be next year March by the grace of God.
X sweetheart I have not done sex with him yet till he gives out the bride price pls dear x if you happen to see this thread this is what I ask from you:

let me taste your delicious lips for the last time
let me hug you for the last time
let me have that thing in me for the last time I felt it so much honey
let me see your smile and hear your voice for the last time

If you were not married dear x ningekuwa na nguvu hata ya kukupigia simu or to text you but with your situation I can't do anything coz they say what God brought together no man can separate. I respect your marriage & I will not want to be the cause of trouble again to hurt your wife again.

I love you so much and you are always in my prayers.

To my irreplaceable

From your x girl.

NB:
Najua muhusika akiona atajijua tu akikumbuka safari ya Mwanza na Mwanza hotel
Sasa mbn muda wote hujanitafuta jma!! Nitafute bn tukumbushane mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa style hizi kwel ngoja nisugue benchi kwanza unaweza pata jeraha la hatari ila naamini kocha awezi kumuacha mtu salama
 
  • Thanks
Reactions: SDG
aiseee mbotswana hapewi punye hadi mahari kwanza, ila jamaa anaombwa akaichakaze bureeee

haya mambo nilisha shindwa mwezi ujatoa punye, kafie mbele....yaani kwangu usitoe mpaka harusi alafu kuna jamaaa anaombwa akaipige duuuh
 
Pole sana.
Fanya mchakato uwe hata mke wa pili kwa x wako
 
To my x love

Only God knows how much I miss my x sweetheart, E nimekumiss sana just send me even a message to say Hi!

I loved you so much. You were the second man in my love life but you were the first man to show me how love tastes.
Mwanaume wa kwanza kabisa kunifikisha kileleni na hajawahi mwingine na sijui kama atatokea tena wa kunifikisha huko. Wewe ndie mwanaume uliyenifundisha nini maana ya mapenzi & for that I will never ever forget you.

My x love you always come in my dreams at night. I dream kissing you, I dream the way we used to hug on bed till we fall asleep, I dream of your hands caressing my back gently, I dream of your priceless smile.....

You were so kind my love I remember how you stood by my side during the difficult moments I went through. There was a time I wanted to kill myself but your sweet words kept me moving on May be now I could be 6 feet down on earth.

Sweetheart when I met you I was more than mshamba but thanks to you you introduced me to the world of wajanja hahahaa you used to say 'abunuasi' For the first time you I went to mwanza by plane and stayed in that classic Mwanza hotel for 3 days thanks so much honey that meant a lot to me.

Honey I know kuna mambo nilikuudhi mengi sana naomba nisamehe kuna vitu nilisema maybe hukutegemea kama ningesema nisamehe mpenzi x.

Last but not least I want to tell you that I am getting married to a Botswanian yeye pia nimempata humuhumu JF kama nilivyokupata wewe my wedding shall be next year March by the grace of God.
X sweetheart I have not done sex with him yet till he gives out the bride price pls dear x if you happen to see this thread this is what I ask from you:

let me taste your delicious lips for the last time
let me hug you for the last time
let me have that thing in me for the last time I felt it so much honey
let me see your smile and hear your voice for the last time

If you were not married dear x ningekuwa na nguvu hata ya kukupigia simu or to text you but with your situation I can't do anything coz they say what God brought together no man can separate. I respect your marriage & I will not want to be the cause of trouble again to hurt your wife again.

I love you so much and you are always in my prayers.

To my irreplaceable

From your x girl.

NB:
Najua muhusika akiona atajijua tu akikumbuka safari ya Mwanza na Mwanza hotel
Huu mtandao umekuwa wa malaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujue wengi humu majina yetu yanaanzia na E.. umeniogopesha.

BTW, muda sio mrefu nilisoma uzi umepata shemeji tena ukampamba kinoma.

Sasa si unamrusha roho bibie na kumjaza kihoro huyo kijana wa watu uliyempata?
Mbotwasana huyo kafa kaoza kwangu hata akiona najua jinsi ya kumtuliza istoshe I doubt kama ataona si mtumiaji mzuri wa jf

Sent from Samsung A8 using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom