Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Tafuta hela ujipandishe thamani
Utapata wa juu yako

Sasa Kama thamani ni ya boda labda upandishwe tax
 
Wanawake wa sasa hawastahili treatment ya aina hii.

They don't deserve at all.
 
Biashara yenyewe ya RD ni mtaji alipewa na huyo mwanaume.
Watengenezeni wanawake wawe na class mnayoitaka msitafute kichaka cha kujificha
Huyo binti, ye mwenyewe anajiweza. Ni muigizaji maarufu huko Nigeria. Alianza kuigiza akiwa ana umri mdogo. Alizaliwa 10/10/2000.
Jamaa aliyemuoa 31/5/2020 alizaliwa 21/12/1960.
Kwa tofauti ya umri huo, na umaarufu wa huyo binti, na bwana mzee kuwa na fedha, ana haki kufanya anayofanya kwa KABINTI ambaye ni mke wake!
regina.daniels-20220219-0002.jpg
 
Huyo binti, ye mwenyewe anajiweza. Ni muigizaji maarufu huko Nigeria. Alianza kuigiza akiwa ana umri mdogo. Alizaliwa 10/10/2000.
Jamaa aliyemuoa 31/5/2020 alizaliwa 21/12/1960.
Kwa tofauti ya umri huo, na umaarufu wa huyo binti, na bwana mzee kuwa na fedha, ana haki kufanya anayofanya kwa KABINTI ambaye ni mke wake! View attachment 2124099
Yeah ni muigizaji kitambo so vimilioni hakosi
 
Ukishashakubali kunioa maana yake ni kwamba nimekuridhisha, hupaswi kunipa mapenzi nusu eti kwa sababu sifanani na Klyn. Nina haki ya kupewa treatment anazopewa mwanamke mwingine yeyote hata kama nikiwa Asha Boko as long as una uwezo wa kufanya hivyo
Kwani mnapodai treatment za juu huwa mnaangalia kwanza uwezo wa waume zenu?
 
Sura ya baba si umemchagua mwenyewe lakini...umeenda kwa miguu yako kutoa mahari
Sasa kama wadada wazuri wenye chura, nikiwatongoza wananikataa, unataka nifanyeje zaidi ya kuchukua mdada flat screen mwenye sura personal Khantwe
 
ukiwa na pesa hakuna kinachoshindikana,ni sawa na kumlipia mkeo ticket ya ndege aende zanzibar ili asiende tu na gari kwa usalama zaidi asije akazama 😂😂
 
View attachment 2123487
This image says alot about how special this woman is. Anaonesha ni wale family women ambao wameanza deep on the roots na mwamba na still waka push support ya kutosha mpaka kufikia hapo halafu sio mmbovu kiivyo kwenye grade ya waifu materials anatazamika.

Yani mwanamke wa hivyo ukimzingua makusudi lazma mambo yakuharibikie tu😅
Kuna aina ya wanawake ukiwa nao mambo yako yataenda mbele ni kama wanabaraka ila kuna wengine utajikuta unarudi nyuma.
 
Back
Top Bottom