😅😅😅😅😅😅 ni sehemu ya kuchangamshana tu kidogo warembo msijenge chuki jamani😅Haahaha huu uzi sikutegemea utakuwa na makavu live hivii
Nakubali ila sio kwa mitusi ile ya I don’t care pale juzi😅Sio wote bwana
Wengine tunajitambua
Ufatilie tu juzi ulimokuwamo😅 sijui ni hasira za deeppond kukuchomesha maindiHehehe wapi hukoo?? Hebu niite none bwana
Pole sana mkuu hao watu ni kuwaendesha kiaskari tu😅
Hivyo hivyo....si unaona mwanamke kamaliza kwanza kukata ticket yake ndo kasema sasa kuna wale wengine kila kitu anakupa taarifa ili utoe hela yan hadi inafikia inakuwa unyonyaji damu tuMume Ana mchango mkubwa kwenye hizo business
Mke kama huyo hata kama hauna hela sana[emoji382][emoji382]
Sio yeye, ni watu wawili tofauti, mmoja ni wa south na mwingine ni uturuki, huyu wa uturuki kesi tofauti..Heheh kwa hyo ulimshauri kudanga then anarudi umuoe mke wa 2
Wanawake wengi mnaotaga ndoto za abu nuwas na aladin kwakweli, ni asilimia ngapi ya wanaume duniani wenye uwezo wa kumpandisha mwanamke kwenye private jet? Na chances za wewe kupendwa na kukutana na mwanaume iyo ni asilimia ngapi?Kitu OG kutoka mbeya halafu upandishwe private jet
Unataka kupetiwa kujaliwa je unayo bikra ?!! Nungaiyembe una libakuli katikati ya mapaja siajabu hata 0713 washatindua unataka kupetiwa. Wanawake wa kibongo mbuzi kweli.Huyu mwanamke mwenzetu ndio amejua kuolewa na kuifaidi ndoa, yani mume anajua kabisa mkewe Anafanya booking ya ndege ya kawaida halafu aka mute tu muda wa safari anamwambia hapana uende na private jet! Yani kupeti peti kama koteee na kumjali kama kote.
Sasa wanaume wetu hawa akina fundi Juma ukiomba hata hela ya boda au ya kutolea unaitwa gold digger au mdangaji. Ngoja tubaki kuwa ndugu watazamaji.
Sisi tukifika mbinguni tutakuwa tumechoka sana asee nyie kaka na baba zetu jifunzeni kwa mwanaume mwenzenu mume wa Regina Daniels.
View attachment 2123470
LolsSio yeye, ni watu wawili tofauti, mmoja ni wa south na mwingine ni uturuki, huyu wa uturuki kesi tofauti..
Huyu tulikutana mazingira fulani, akanielewa, kipindi hiko sina mtu, na protini zinataka kupasua vichupa, nikaona ndio pakuponea, kumbe yule yupo serious, halaf kipindi hiko nina majanga kama takataka, wala kiuchumi pia sikuwa sawa kabisa, ndani nina godoro na vitu vichache, mtu niliyekuwa naishi nae nilimtimua na kumpa kila kitu akaanze maisha.
So demu akafika mpaka kwangu, penzi likamnogea akataka ahamie kabisa, tufunge na ndoa, sasa mimi sikuwa serious nae, akili yangu ilikuwa inamchukulia dada wa mjini tu, napiga MBUPU nasepa, akawa serious kabisa, uzuri mezani kwake ikaja hiyo deal ya kazi huko, akataka kugoma tufunge ndoa, nilidhani anatania au ananivutia maji marefu anigonge parefu, kumbe yuko serious, nilipogundua hilo sikumkawiza nikampa uhalisia(japo sikumwambia wazi kama simuelewi) nilimwambia tu hali yangu si anaiona, sasa asikatae hiyo dili ya akapige kazi, mimi huku navuta pumzi, akirudi nami nitakuwa fresh, hiyo ndoa itapenya, akaelewa somo akakubali, nilidhani utani, heee... Siku anakuja kunitwangia whatsapp naona namba ngeni kupokea yeye, yupo kwa kina ertugrul huko, basi fresh tukwa tunawasiliana, hapa kati nikaona uzinifu utanimaliza nae yule sikuwa namuamini kiviiile, nikavuta jiko, ila nilimueleza uhalisia, katoa go ahead, ila akirudi yeye ndoa iko pale pale.
Soon nitakuwa MUME WA WATU sio mume wa mtu tena. 😂
Sio yeye, ni watu wawili tofauti, mmoja ni wa south na mwingine ni uturuki, huyu wa uturuki kesi tofauti..
Huyu tulikutana mazingira fulani, akanielewa, kipindi hiko sina mtu, na protini zinataka kupasua vichupa, nikaona ndio pakuponea, kumbe yule yupo serious, halaf kipindi hiko nina majanga kama takataka, wala kiuchumi pia sikuwa sawa kabisa, ndani nina godoro na vitu vichache, mtu niliyekuwa naishi nae nilimtimua na kumpa kila kitu akaanze maisha.
So demu akafika mpaka kwangu, penzi likamnogea akataka ahamie kabisa, tufunge na ndoa, sasa mimi sikuwa serious nae, akili yangu ilikuwa inamchukulia dada wa mjini tu, napiga MBUPU nasepa, akawa serious kabisa, uzuri mezani kwake ikaja hiyo deal ya kazi huko, akataka kugoma tufunge ndoa, nilidhani anatania au ananivutia maji marefu anigonge parefu, kumbe yuko serious, nilipogundua hilo sikumkawiza nikampa uhalisia(japo sikumwambia wazi kama simuelewi) nilimwambia tu hali yangu si anaiona, sasa asikatae hiyo dili ya akapige kazi, mimi huku navuta pumzi, akirudi nami nitakuwa fresh, hiyo ndoa itapenya, akaelewa somo akakubali, nilidhani utani, heee... Siku anakuja kunitwangia whatsapp naona namba ngeni kupokea yeye, yupo kwa kina ertugrul huko, basi fresh tukwa tunawasiliana, hapa kati nikaona uzinifu utanimaliza nae yule sikuwa namuamini kiviiile, nikavuta jiko, ila nilimueleza uhalisia, katoa go ahead, ila akirudi yeye ndoa iko pale pale.
Soon nitakuwa MUME WA WATU sio mume wa mtu tena. 😂
So tupambane na hawa hawa waliopo wa uwezo wa toyo sioWanawake wengi mnaotaga ndoto za abu nuwas na aladin kwakweli, ni asilimia ngapi ya wanaume duniani wenye uwezo wa kumpandisha mwanamke kwenye private jet? Na chances za wewe kupendwa na kukutana na mwanaume iyo ni asilimia ngapi?
Yani ndoto zako wewe ni sawa na mimi ni-imagine kudate au kupewa papuchi na Rihanna au Ariana grande kitu ambacho ni impossible.
Ndo maana Kevin samuels kule YouTube anawaambia ukweli, kuna mdada wa kimarekani aliweka vigezo alisema anataka mwanaume mwenye kipato cha USD 400,000 kwa mwaka, wakati Marekani ni 1% ya watu ndoa wanaingiza hiyo hela
Nakadori
Jamani kwani sheria si inaruhusu mtu mbili mpaka 4 ndani ya track moja 🙄Lols
We si ulisema uliyenaye anatosha wewe? Jasiri haachi asili.. nlikwambia hata jana kwamba unatuzingua tu we ni me kama me wengine bwana
Mkuu kunywa maji kwanza urelaxUnataka kupetiwa kujaliwa je unayo bikra ?!! Nungaiyembe una libakuli katikati ya mapaja siajabu hata 0713 washatindua unataka kupetiwa. Wanawake wa kibongo mbuzi kweli.
Unataka kupetiwa je una chura, wewe ni mrefu, mweupe na chotara au lisura ka la baba yako afu unataka kupetiwa mbuzi wa kipare jinga sana.