Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Naomba picha yake
Tena hapo amemuedit
Ila kama walivyosema wadau kwamba mwanamke mwenye chake anawekwa pahala pema kwenye pepo ya mwanaume ni sawa ....maana huyu mama naskia alishamsaidia sana van kipindi cha hustle wakat anaanza uigizaji
iam_vanvicker~p~CZ9ro6Uo9if~1.jpg
 
Hahahahahah
Wanaume washagundua kama wanawake wanakuja kwenye ndoa ili kutake advantage ya divorce mbeleni. Sasa ili kujilinda funga ndoa na anaechangia pato la familia pia. Ili divorce ikitokea usile hasara kubwa kwenye mgawanyo.

Tofauti na mwajuma ndala ndefu yeye anachangia kupanua mapaja tu na kwenye divorce anataka zaidi ya mapaja aliyochanua
kwanza mwanamke ambaye hajachangia chochote yupo easy sana kwenye kutaka divorce ama kuitafuta maana hana anachopoteza
 
Usiku mwema jamani. Najaribu kulala nashindwa...hapa karibu na kwangu kuna kanisa leo wanakesha basi ni kelele kama zote sijui niende hukohuko na mimi nikafanye maombi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] lakini si kwaajili ya kukufurahisha wewe jamani, unapata hata wasaa wa kuconcetrate kwenye mambo yako ya kutafuta hela
Yani mwanamke akichoka na utafutaji akiwa gogo shida...akiwa anahangaika na mastaili pia shida
 
Duhh haya bwana
Ngoja tujiongezee thaman
92FC4DB4-CACE-4960-A0D7-0C10CC976BF9.jpeg

This image says alot about how special this woman is. Anaonesha ni wale family women ambao wameanza deep on the roots na mwamba na still waka push support ya kutosha mpaka kufikia hapo halafu sio mmbovu kiivyo kwenye grade ya waifu materials anatazamika.

Yani mwanamke wa hivyo ukimzingua makusudi lazma mambo yakuharibikie tu😅
 
View attachment 2123487
This image says alot about how special this woman is. Anaonesha ni wale family women ambao wameanza deep on the roots na mwamba na still waka push support ya kutosha mpaka kufikia hapo walipo.

Yani mwanamke wa hivyo ukimzingua makusudi lazma mambo yakuharibikie tu[emoji28]
Viker anamsifia sana
Kila akiongea mafanikio yake lazima amtaje
 
Tena hapo amemuedit
Ila kama walivyosema wadau kwamba mwanamke mwenye chake anawekwa pahala pema kwenye pepo ya mwanaume ni sawa ....maana huyu mama naskia alishamsaidia sana van kipindi cha hustle wakat anaanza uigizajiView attachment 2123485
Sasa si umeona support ilivyombeba kwa thamani huyu mwanamke😅! Imagine upo kwenye hustles anatokea demu with genuine feelings anaonesha interest tu na wewe na kukusaidia mambo yako yaende poa tu after some time inakujia kichwani unaona kwanini usimuoe tu kabisa maana ame play role kubwa kwenye mafanikio yako?
 
Viker anamsifia sana
Kila akiongea mafanikio yake lazima amtaje
Kumbe nilikuwa sahihi 😅😅😅 sasa mjiongeze na nyie. Hizi za kujifanya njaa njaa utaishia kuonekana malaya tu na hutopata mtu wa maana.
 
Sasa si umeona support ilivyombeba kwa thamani huyu mwanamke😅! Imagine upo kwenye hustles anatokea demu with genuine feelings anaonesha interest tu na wewe na kukusaidia mambo yako yaende poa tu after some time inakujia kichwani unaona kwanini usimuoe tu kabisa maana ame play role kubwa kwenye mafanikio yako?
Mhh wapo wanaume wamesaidiwa sana tu na wanawake na bado wanawatosa wakifika juu..
Kama ilivyo kwa wadada baadhi. Binafsi ninaamini kwenye bahati ya mtu
 
Back
Top Bottom