Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Daaaah hii comment imenifanya nicheke kwa loud speaker 🤣🤣🤣
Kwahiyo sisi wenye sura personal tuendelee tu kupandishwa boda boda au siyo!
Sura personal =ng'ong'ozo 🤣🤣🤣🤣
Bwana wee ata sie wanaume ambao hatuna hela tungetamani kuwagegeda wakina paula lakini ndio hivyo tena.

Kila mtu akubaliane na reality yake. Ukiwa na sura na tako utapanda private jet. Kama huna tako wa sura basi subiria teuzi.
 
Huyu anasatahili private ticket lakini au we humuoni?😅

On top of that ana guts za kujilipia mwenyewe ticket bila kusumbua. Kupewa private wing thats a bonus tu kwa mwanamke anaejielewa cause she deserves that treat.
Mkuu,
Mbona umegaragazwa kwa ban tena?!!!
Au kuna mrembo humu unagombania na mtukufu?
 
Ukishashakubali kunioa maana yake ni kwamba nimekuridhisha, hupaswi kunipa mapenzi nusu eti kwa sababu sifanani na Klyn. Nina haki ya kupewa treatment anazopewa mwanamke mwingine yeyote hata kama nikiwa Asha Boko as long as una uwezo wa kufanya hivyo
Kuolewa si tumesitiliana sisi kina Hamis na mwajuma sio kwamba ndio utapata treatment kama upo Abu Dhabi, hapana, Basi sisi tunaona basi vindoa vya milioni na laki si tunawekana ndani tu, Ndoa imegharimu milion 10 nazo ni za mchango, Unataka upande Private jet labda ya kwenye tv
 
Kuolewa si tumesitiliana sisi kina Hamis na mwajuma sio kwamba ndio utapata treatment kama upo Abu Dhabi, hapana, Basi sisi tunaona basi vindoa vya milioni na laki si tunawekana ndani tu, Ndoa imegharimu milion 10 nazo ni za mchango, Unataka upande Private jet labda ya kwenye tv
Sijui hata unaongelea nini ndugu
 
Sasa kama wadada wanaonikubali ni wale ambao sina hisia nao kihivyo, sasa nifanyeje, ndo unakuta mwanaume naoa flat screen ila kiuhalisia natamani mdada mwenye chura Khantwe
Kama hao wote wanakukataa maana yake hujafikia viwango ndio maana ukaishia kunioa mimi Mwajuma. Wewe na mimi tunafanana tupendane tu mpendwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom