Wanawake wengi wanashindwa kuitanguliza status yake kwanza, hapo ndio wadangaji weengi wanafeli, hawana mipango kabisa, kuna goma langu moja nishawahi lipa elimu ya hii kitu mpaka kesho ananishukuru, sasa yupo kwa madiba, hapa ana mijengo miwili ya maana hana tabu, nilimwambia "uzuri wako ndio mtaji wako, umeamua kudanga, weka thamani yako katika level fulani, wazuri wanagapi wanatafunwa na sisi kina pangu pakavu, mfano wewe zaidi ya kufata ukuni kwangu unapata nini cha maana" the rest is history.