Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Kumbe nilikuwa sahihi 😅😅😅 sasa mjiongeze na nyie. Hizi za kujifanya njaa njaa utaishia kuonekana malaya tu na hutopata mtu wa maana.
Yote hayo ni katika barakati zenu za kupinga kuombwa nauli 😂😂
Chama cha waomba nauli kitaacha huo mchezo
 
Una hasira na Ke dahh
Dah... We acha tuu mwamba una piga kazi kutwa nzima una make hata huli vizuri mpaka weekend.
Unapaua na msauzi na fensi juu wakati huo mama chanja kazi kuangalia etugru na sinema zetu.Dah...

Alafu akapande Pipa la Mzungu...

Ukimuuzi kidogo tuu utasikia tuachaneee

Ng'ong'ozo kweli hawa...[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mhh wapo wanaume wamesaidiwa sana tu na wanawake na bado wanawatosa wakifika juu..
Kama ilivyo kwa wadada baadhi. Binafsi ninaamini kwenye bahati ya mtu
Ni swala la bahati na akili ya mtu pia ambaye ana thamini mchango wa mtu. Inshort mtu muungwana tu asie mbinafsi hawezi kuleta mambo ya kijinga😅
 
😂😂😂😂😂😂😂 anatakiwa ajiongeze tu maana hamna hata mwenye habari nae huko road. Ila pisi kama hio pichani ukiipandisha boda boda jiandae kuchapiwa tu na washua
😅😅
 
Yote hayo ni katika barakati zenu za kupinga kuombwa nauli 😂😂
Chama cha waomba nauli kitaacha huo mchezo
Hahahahahah wafikishie ujumbe wala nauli wenzio popote walipo. Ile tabia inakuondolea thamani kabisa yani😅
 
Dah... We acha tuu mwamba una piga kazi kutwa nzima una make hata huli vizuri mpaka weekend.
Unapaua na msauzi na fensi juu wakati huo mama chanja kazi kuangalia etugru na sinema zetu.Dah...

Alafu akapande Pipa la Mzungu...

Ukimuuzi kidogo tuu utasikia tuachaneee

Ng'ong'ozo kweli hawa...[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Heheheh unaniua kwa kichekoo
 
Huyu anasatahili private ticket lakini au we humuoni?😅

On top of that ana guts za kujilipia mwenyewe ticket bila kusumbua. Kupewa private wing thats a bonus tu kwa mwanamke anaejielewa cause she deserves that treat.
You have nailed bro….
 
Huyu mwanamke mwenzetu ndio amejua kuolewa na kuifaidi ndoa..yani mume anajua kabisa mkewe Anafanya booking ya ndege ya kawaida halafu aka mute tu ..mda wa safari anamwambia hapana uende na private jet...! Yani kupeti peti kama koteee na kumjali kama kote.
Sasa wanaume wetu hawa akina fundi juma ukiomba hata hela ya boda au ya kutolea unaitwa gold digger au mdangaji. Ngoja tubaki kuwa ndugu watazamaji.
Sisi tukifika mbinguni tutakuwa tumechoka sana asee
Nyie kaka na baba zetu jifunzeni kwa mwanaume mwenzenu mume wa Regina Daniels.View attachment 2123470

Sasa madam unaacha kutoka na vijana we unagongana na Mzee mjomba.

Hizo raha utazipata wapi??

#YNSA
 
Huyu anasatahili private ticket lakini au we humuoni?[emoji28]

On top of that ana guts za kujilipia mwenyewe ticket bila kusumbua. Kupewa private wing thats a bonus tu kwa mwanamke anaejielewa cause she deserves that treat.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sure mkuu ..cha kwanza mwanamke ajielewe
 
Hujajibu swalii.... naona umepanik tu
Nimeuliza rangi km zile za wanyaki haziwezi panda private jet?
Mke wa sugu si unamuona?? Ile sura na mali anazomiliki sasa chini ya sugu vinaendana?? Saa ingine ni bahati tu ya mtu
Huwa nashangaa sana wanawake mnavoona kuolewa eti ni bahati ...hakuna kitu km hicho ...Tabia zako binafsi zinabeba 80% ya ww kuolewa au kuendelea kuchakazwa .
 
Hiyo ndio ilikuwa point yangu...
Kwamba ukishakuwa mke then lazima mwanaume akupe status ya mke ki huduma
Status ya mke kihuduma imegawanyika kwa levels
Kuna levels za high class,middle class, na low class

So itategemea ww uko kundi gan kati ya hayo matatu
Usitegemee hata siku moja eti upewe hadhi ya high class wakati we mwenyewe low class
 
Kuna miss nigeria wa zamani mmoja ana maneno machafu sana. Anaambiwaga anatumia hela za mumewe vibaya kwa vacations ambaye ni Mchezaji mpira ulaya. Anawaambia na nyinyi nendeni mkashinde miss nigeria then mtongozwe na mtu level ya mume wangu. Muone kama ni rahisi
C ndo naskia mmewe ali update akaoa miss naijaa 2018?
 
Hk kidada hapa mbona knaonekana kirefu wakat huwa n kfupi
 
Back
Top Bottom