Kumbe weusi ni mbaya sio? Weusi hua haumbebi mtu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio weupe umembeba kwelii
Sure nina rejesho la pesa bank, what bout ya ?! Vile si una rejesho la sperm za boda boda, mlinzi na konda !? Umejiandaa kupeleka bakuli wakamwage au bado unadanga danga kwanza mtandaoni ?!Mkuu kunywa maji kwanza urelax
Vipi una rejesho nini?
Kina fundi hamisi hawa watatuua kwa preshaHuyu mwanamke mwenzetu ndio amejua kuolewa na kuifaidi ndoa, yani mume anajua kabisa mkewe Anafanya booking ya ndege ya kawaida halafu aka mute tu muda wa safari anamwambia hapana uende na private jet! Yani kupeti peti kama koteee na kumjali kama kote.
Sasa wanaume wetu hawa akina fundi Juma ukiomba hata hela ya boda au ya kutolea unaitwa gold digger au mdangaji. Ngoja tubaki kuwa ndugu watazamaji.
Sisi tukifika mbinguni tutakuwa tumechoka sana asee nyie kaka na baba zetu jifunzeni kwa mwanaume mwenzenu mume wa Regina Daniels.
View attachment 2123470
Rest in peace mkuuSure nina rejesho la pesa bank, what bout ya ?! Vile si una rejesho la sperm za boda boda, mlinzi na konda !? Umejiandaa kupeleka bakuli wakamwage au bado unadanga danga kwanza mtandaoni ?!
Wanawake wa kibongo zero kweli, hapo utakuta sura mbayaa afu linabeza wanaume ndio maana mnatiwa na kuachwa cheap kama toilet tissue. Misingle mother ya kiTanzania mawazo ni kudanga tu, mwenzako ni a lady with dignity ndio maana anapata treatment firs class sasa wewe na maku kunuka unataka upewe private jet flight ?!
Unaweza ukawa level ya juu kutoka mtu daraja la chiniSasa mpaka unamuoa si maana yake kwako ni wa level ya juu??
KAMA HUTAKI KUTUKANA MBONA UNABEZA NA KUDHIHAKI WANAUME kitendo ambacho ni kibaya zaidi hata ya kutukana ?!Rest in peace mkuu
Byee mwaka huu sitaki kutukana au kukwazana na asee
Hautaki kukwazana then kua makini kutokwaza wengine, binafsi umenikwaza kuwadhihaki wanaume wasio na kipatoUnaweza ukawa level ya juu kutoka mtu daraja la chini
Kuwa daraja la chini sio sifa ..inabidi upambane utoke huko.Hautaki kukwazana then kua makini kutokwaza wengine, binafsi umenikwaza kuwadhihaki wanaume wasio na kipato
Kuwa daraja la chini sio sifa ..inabidi upambane utoke huko.
Subiria mtambo ukuingie vizurMkuu umechanganyikiwa au vipi ? Mbona comment yako juu ya comment yangu haviendani, we umeolewa daraja la chini au limbukeni daraja la chini au mshamba tu au vyote ?
Kama huna hata ya daladala boda boda ya nini? [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo akina saumu ndala chafu hawastahili hata uber kwakuwa hawajiwezi??
Masingle mother wa kibongo tabu sana. Utakuta huyu dada yetu anawaza kuolewa na Justine Beiber haa ha haKama huna hata ya daladala boda boda ya nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mke wa van vicker naye wa kawaida ila mumewe anajitahidi sana kucheza nafasi ya mume. So msijitetee hapa eti kisa shep ya kabati. Pendeni wake zenu kama mmeamua kuwaoa
Ndo ushangae halafu watu wamekazia uwe na tako sjui uwe na weupe sjui uwe nyiiingii kumbe haya mambo na bahati ya mtuu. Yule ndo mke wa van mwaya na anamnadi hatareesamahani hivi kumbe yule ni mke wake ana umri gani kuna siku kapost nikaona kaandika 47 kitu kama hiko
Afu mbona ni kama mama ake mdogo duuuuh
Ndo ushangae halafu watu wamekazia uwe na tako sjui uwe na weupe sjui uwe nyiiingii kumbe haya mambo na bahari. Yule ndo mke wa van mwaya na anamnadi hataree