Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,524
Hilo kwa perspective yangu naona halina tatizo as long as umetoa sababu ya msingi tu inayopelekea hilo. Yamkini uko tight on budget ila kama huwa unajilipia flight mwenyewe siku zingine hilo haliwezi kuwa tatizo kabisa.Je kama binafsi ninaweza kujikatia kiketi ya ndege kwenda dar, (na nilishafanyaga hivyo huu ndo ukweli) lakini siku nyingine nikataka nitoe nusu na mwanaume huyo ninaemfata atoe nusu hiyo imekaaje?
Jibu naomba liwe katika mazingira ya kibongo, achana na hao ma selebrity .
Tena huenda ndio tukaamua tu kulipia ticket yote. Yani as long as first impressions haukuleta pigo za njaa njaa unakuwa on safe zone.
Mbaya ni ile on first date hata hamjazoeana unaanza kuleta swagger za Gold digging na kutaka kumfuja mjuba yani mnajiharibiaga sana.