Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,351
Hili jamaa linalo ongoza Senegal lina sababu gani za msingi kuhairisha uchaguzi ? Au ndio upuuzi wa kung'ang'ania madaraka kama kawaida ya maviongozi ya Afrika ?
Hivi hivi Senegal inaweza kuingia kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe halafu baadae lawama anaanza kupewa marekani na ulaya.
Huyu mpuuzi aliingia madarakani kwa uchaguzi kwa nini yeye uchaguzi ana upiga dana dana huyu mwendawazimu ?
Hivi hivi Senegal inaweza kuingia kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe halafu baadae lawama anaanza kupewa marekani na ulaya.
Huyu mpuuzi aliingia madarakani kwa uchaguzi kwa nini yeye uchaguzi ana upiga dana dana huyu mwendawazimu ?