Huyu Presenter wa Clouds hana maadili

Huyu Presenter wa Clouds hana maadili

Hapo hakuna tusi zaidi ya ukweli.
Tatizo Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Najua umechukualia hayo maneno kama yalivyo ila nakushauri kaa chini utafakari yeye alimaanish nini.

*ZINGATIA*
kama ww ni mwanaume ulivaa joho na bado upo nyumban.

Believe me my braza
lile ni dera.
Tofautisha kati ya KEJELI na UKWELI kama aliongea aliyosema mtoa mada basi ile ni Kejeli na sio Ukweli
 
Clouds fm ni station ya kipumbavu I can say that, kuna mtangazaji nimemsikia anawadhihaki vijana wetu eti kama ulivaa joho na mpka leo hujapata kazi basi hilo lilikuwa dela, msilete masihara wakati vijana wetu wako mtaani na hawana ajira, huna ethics za utangazaji mpuuzi sana siyo kauli za kuongea kwenye media.
Kheee.... kwa hiyo hilo povu kisa limetajwa dela?
 
Tofautisha kati ya KEJELI na UKWELI kama aliongea aliyosema mtoa mada basi ile ni Kejeli na sio Ukweli
Mtoa mada kapanic bure ,mimi nilisikiza mwanzo mpaka.mwisho na huyo mtangazaji alikuwa hana nia yeyote ya kukejeli,kwa maana nyingine aliongea kama kibwagizo tu,tena nakumbuka kabisa alianza kwa kusema "nakia wanasema eti........"
 
Lakini msiwalaumu watangazaji wa clouds waliowengi shule hawana hata ilo joo hawajawai kulishika. Wanaliona kwenye Tv. Clouds wanaamini kwenye vipaji na si elimu. Wengi ni form four. Wakulaumiwa ni boss wao.
 
Clouds fm ni station ya kipumbavu I can say that, kuna mtangazaji nimemsikia anawadhihaki vijana wetu eti kama ulivaa joho na mpka leo hujapata kazi basi hilo lilikuwa dela, msilete masihara wakati vijana wetu wako mtaani na hawana ajira, huna ethics za utangazaji mpuuzi sana siyo kauli za kuongea kwenye media.
naona jiwe limerushwa gizani
 
Hatari! Sawa vijana walivaa madela! Hyo ni fasihi, nafasihi siku zote inaukwel ndani yake!

Sema ujumbe unafika wakati watu wamejaa stress,hasira, jobless, helaless nk ndo maana mnapaniki lakn hyo ni fasihi na inaukwel ndani yake!
 
Clouds fm ni station ya kipumbavu I can say that, kuna mtangazaji nimemsikia anawadhihaki vijana wetu eti kama ulivaa joho na mpka leo hujapata kazi basi hilo lilikuwa dela, msilete masihara wakati vijana wetu wako mtaani na hawana ajira, huna ethics za utangazaji mpuuzi sana siyo kauli za kuongea kwenye media.
Msamehe bure.
 
hvi OMO+FOMA+MAJI=..................
 
Hapo hakuna tusi zaidi ya ukweli.
Tatizo Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Najua umechukualia hayo maneno kama yalivyo ila nakushauri kaa chini utafakari yeye alimaanish nini.

*ZINGATIA*
kama ww ni mwanaume ulivaa joho na bado upo nyumban.

Believe me my braza
lile ni dera.
Mkishashiba huwa hamjui kuna wenzenu wana njaa.
 
Mtoa mada kapanic bure ,mimi nilisikiza mwanzo mpaka.mwisho na huyo mtangazaji alikuwa hana nia yeyote ya kukejeli,kwa maana nyingine aliongea kama kibwagizo tu,tena nakumbuka kabisa alianza kwa kusema "nakia wanasema eti........"

Je kama angesikia kuwa wanasema kuwa baba yake na mama yake walikuwa wakiingia chumbani kwao mchana kucheza mchezo wa kumtafuta yeye angeirusha hewani?
 
Back
Top Bottom