Clouds fm ni station ya kipumbavu I can say that, kuna mtangazaji nimemsikia anawadhihaki vijana wetu eti kama ulivaa joho na mpka leo hujapata kazi basi hilo lilikuwa dela, msilete masihara wakati vijana wetu wako mtaani na hawana ajira, huna ethics za utangazaji mpuuzi sana siyo kauli za kuongea kwenye media.
hawa nao wanatafuta kiki,.....tushaamia radio nyingine washatuchosha kwanza