Huyu ndiye Rais anayetufaa 2015

Huyu ndiye Rais anayetufaa 2015

Katika uchaguzi wa mwaka 1995, mwalimu Nyerere alisema kabla ya mchakato wa kumpata mgombea wa CCM kuwa majina si muhimu. Akaendelea kusema kwamba cha kwanza ni kuangalia kama taifa tuta taka kwenda wapi, kisha tuangalie ni kiongozi mwenye sifa zipi anaweza kutufikisha hapo. tukisha jua tumataka kwenda wapi na ni mtu wa aina gani ata tufikisha ndiyo tuanze kuangalia katika hao walio jitoteza kugombea ni yupi mwenye nyingi ya sifa hizo? Sasa hatujawa na mjadala wa kitaifa ya ni wapi tunapo taka kwenda na wagombea hawa jajitokeza rasmi lakini tayari tuna taja taja majina.
 
Katika uchaguzi wa mwaka 1995, mwalimu Nyerere alisema kabla ua mchakato wa kumpata mgombea wa CCM kuwa majina si muhimu. Akaendelea kusema kwamba cha kwanza ni kuangalia kama taifa tuta taka kwenda wapi, kisha tuangalie ni kiongozi mwenye sifa zipi anaweza kutufikisha hapo. tukisha jua tumataka kwenda wapi na ni mtu wa aina gani ata tufikisha ndiyo tuanze kuangalia katika hao walio jitoteza kugombea ni yupi mwenye nyingi ya siga hizo? Sasa hatujawa na mjadala wa kitaifa ya ni wapi tunapo taka kwenda na wagombea hawa jajitokeza tasmi lakini tayari tuna taja taja majina.
Ndiyo shida ya magamba hiyo. Mwingine alijiandaa kwa miaka kumi kuwa rais lakini hakuwa na dira hakuwa na vision. Matokeo yake ndiyo tunayaona leo. Badala ya kujiuliza nani atakuwa rais tujiulize tunataka Tanzania ya aina gani na baada ya hapo ndipo tutafute ni nani anayefaa kutufikisha huko.
 
Ndiyo shida ya magamba hiyo. Mwingine alijiandaa kwa miaka kumi kuwa rais lakini hakuwa na dira hakuwa na vision. Matokeo yake ndiyo tunayaona leo. Badala ya kujiuliza nani atakuwa rais tujiulize tunataka Tanzania ya aina gani na baada ya hapo ndipo tutafute ni nani anayefaa kutufikisha huko.

Si ndiyo hapo mkuu. Na kwenye hiyo list kuna mmoja atakua ameunyemelea uraisi kwa miaka ishirini ifikapo 2015 na sidhani kama hata kawazia ni nini atalifanyia taifa iwapo ata fanikiwa kushinda.
 
Muda kama huu tunahitali kilanja mkorofi, asiyetaka kufanya umalaya ndani ya ikulu, mwenye kuweza kukemea rafiki zake wapendwa, anayeweza kutulia ofisini akatekeleza wajibu wake, sio mnafiki. Smbdy like mr mchechu..
 
Hakuna hata mmoja kati ya hao atakayeukwaa Urais. Mark my words.
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?

1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
 
LIPUMBA ATAPATA KURA MBILI,YAKE NA YA MKE WAKE MTATIRO,MEMBE HAWEZI HATA KUFIKIRIWA,LOWASA ATASHINDANA SANA NA SLAA,PINDA HAWEZI HATA KIDOGO KUINGIA KWENYE HIYO LIST

MSHINDI NI DR WILBROAD PETER SLAA

mkombozi wetu
 
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?

1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA

none of the above
 
Kwa kauli nyingi nilizomsikia huyo wa kwanza, namshauri kama anawazo la kugombea alifute kabisa! Mdudu "mende" makazi yake chooni tu. Naona kama wengine "wameshalowa", wengine "wameshapinda", wengine kama "pumba" tu urais kazi, na "silaha" tulizonazo wananchi zataka umakini katika matumizi zisije kutufyatukia!
 
hamna hata mmoja anayefaa kwani tunataka tunataka watu wa makamo sio wazee zaidi ya miaka hamsini na tano
 
.....membe ndio nani huyu anayemtetea Gaddafi? ataishia kuwa mbunge wa Mtama, tunahitaji rais mwenye akili za kiwendawazimu ili tujikwamue tulipo sio haya magamba.......
mkuu una maana
CDM ni wendawazimu? Mimi nadhani tunataka rais mchapakazi kama lowassa
 
Yeyote anaweza isipokua uyo anaekaa na kimada tena cha wizi sidhani kama uko kanisani alikuwa mwizi pia
 
Benard Mende ndo nani tena?

Hujakosea mkuu. unajua kuna kautaratibu au kasumba kuwa atakaye kuwa waziri wa mambo ya nje anafaa kwa urais sijui kwa kuongea kizungu? Unakumbuka Mkapa alikuwa Waziri katika wizara hiyo, akafuata Kik- wete na sasa wanadhani Bernadi Membe. Eti hiki ndo kigezo.
 
Sisi tunataka kuongozwa na watu wenye akili timamu,sa hao wote hapo juu hawana akili nzuri.
 
Wengine wote wana hadhi ya kuwa raisi isipokuwa huyo mwizi wa mke wa mtu. Anahamasisha vurugu pia ni mdini.
Kwani kila post lazima uchangie?huna cha kufanya au unakula kwa migongo ya watu?
 
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?

1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
Kwa nini tusijadili wkanza sifa za mtu anayepaswa kuwa rais wetu 2015 ili tuweze kupima ni nani mwenye sifa tunazozihitaji?
 
Back
Top Bottom