Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Huyo mkapa si kwasababu aliuza migodi yote kwa wazungu wa dini yenu ndio maana alifaa? Pia aliwauzia wakristo wenzake nyumba za umma, na kujiuzia mgodi wa kiwira! Huo ndio uongozi uliotukuka! Usiongee tu mtu wangu, fanya kwanza utafiati hata mdogo tu, angalia mafisadi wanaoitafuna nchi kama si wa dini yako, akina chenge, El, balali, wasira, mramba, Liu, nk.
kwan hata akiuza c mali ya watanganyka,nyie wazenji hamna chenu huku bara bana.