ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
ni nani atakuwa rais 2015 kati ya hawa:?
1. Bernad membe
2. Edward rowasa
3. Pm pinda
4. Dr slaa
5. Prof. Lipumba
rais safari ijayo atatoka mbeya
Hivi huyo mzee atamaliza hata huu mwaka kweli?
6. Kiravu
7. Mtikila
8. Dovutwa
Yah, wakuu kama tutaendelea kuwa na huyu huyu mkurugenzi wa nec aka Tanzanian Kivyuitu bac magamba wataendelea labda watz mchukue hatua zaidi ya kupiga kura!
Kwa mtazamo wangu, Dr. Shein amekuwa ni kiongozi wa CCM ambaye afungamani na vikundi ndani ya CCM, hana kashfa kama ilivyo kwa viongozi wengine wa CCM, PhD yake ni ya ukweli, Ni mchapa kazi kwani Zanzibar inaonekana sasa ilivyotulia na kuna mambo mengi ambayo yanaonekana kwamba kuna maendeleo yanafanyika. Kifupi huyu mzee ametulia ukilinganisha na wengine ndani ya CCM, hata wapinzani sijawasikia wakimuongelea ubaya au mabaya yake huyu mzee.
Je inawezekana CCM ikamsimamisha kama mgombea uraisi 2015?, Itakuwa vipi ikiwa ni Dr. Sla'a Vs Dr. Shein 2015. upinzani utakuwa mkubwa au yatakuwa ni yaleyale tu.
Wengine wote wana hadhi ya kuwa raisi isipokuwa huyo mwizi wa mke wa mtu. Anahamasisha vurugu pia ni mdini.
Dr.Shein hataweza kuwa mgombea wa CCM kwa Urais wa TZ 2015 kwa kuwa itakuwa zamu ya Rais MKRISTU,mpende msipende.
Mkuu, unachoshangaa nini? Huyu jamaa mbona kabla ya kuwa rais wa nchi jirani alikuwa makamu wa rais wa nchi nyingine? Nadhani katika sera za "changu chetu", "chako chako" linawezekana kabisa.Huyo Dr sheni si kuna habari kuwa ni raisi wa nchi jirani ya zanzibar? sasa ataachaje uraisi wa nchi yake na kuchukua uraisi wa nchi ingine? from president to president.... allah's willing