We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Wana jamii,
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana na kwa miaka kadhaa sasa Makala za Generali Ulimwengu, na katika upembuzi wangu wa mambo japo kwa upeo nilio nao, nimejiridhisha kuwa, kwa hali halisi ya Tanzania ilipofika sasa, General Ulimwengu ndiye Binadamu anayetufaa Watanzania Kuichukua na kuiongoza nchi mwaka 2015. Natoa hoja!
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana na kwa miaka kadhaa sasa Makala za Generali Ulimwengu, na katika upembuzi wangu wa mambo japo kwa upeo nilio nao, nimejiridhisha kuwa, kwa hali halisi ya Tanzania ilipofika sasa, General Ulimwengu ndiye Binadamu anayetufaa Watanzania Kuichukua na kuiongoza nchi mwaka 2015. Natoa hoja!