Huyu ndiye Rais anayetufaa 2015

Huyu ndiye Rais anayetufaa 2015

Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?

1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
 
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?

1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA

kama katiba na tume ya uchaguzi itakuwa hihii, rais atakuwa yule aliyeteuliwa na ccm.

Katiba mpya kwanza,
Nani atakuwa rais baadae.
 
Yah, wakuu kama tutaendelea kuwa na huyu huyu mkurugenzi wa nec aka Tanzanian Kivyuitu bac magamba wataendelea labda watz mchukue hatua zaidi ya kupiga kura!
 
kama katiba inabaki hii hii na tume ya uchaguzi hii hii basi rais atakuwa aloteuliwa na kijani.

Lakini kila kitu ikiwa fair basi kura ndio zitakazoamua, its too early to predict
 
Rais atatoka chama cha magamba,kwakua mtaji wa ccm ni ujinga wa watu wake,ila ifikapo 2020 wataanguka kwani wanajitengenezea Bomu KUBWA na BAYA sana ya hao wanafunzi wa shule za kata,watakua wengi kwenye chumba cha kura na kwakua watajua umaskini wao umesababishwa na nani lazima watawahukumu kwenye Kura.
 
Wengine wote wana hadhi ya kuwa raisi isipokuwa huyo mwizi wa mke wa mtu. Anahamasisha vurugu pia ni mdini.
 
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?


1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
Lowass ana nafasi kubwa. amejiandaa tangia mwaka 1995
 
.....membe ndio nani huyu anayemtetea Gaddafi? ataishia kuwa mbunge wa Mtama, tunahitaji rais mwenye akili za kiwendawazimu ili tujikwamue tulipo sio haya magamba.......
 
Ni swali lililoulizwa na idhaa ya kiswahili ya radio ujerumani leo,, lilihusisha viongozi 5 wa vyama vya siasa,
NI NANI ATAKUWA RAIS 2015 KATI YA HAWA:?

1. BERNAD MEMBE
2. EDWARD ROWASA
3. PM PINDA
4. DR SLAA
5. PROF. LIPUMBA
Tunataka katiba mpya ambayo itaweka kipengere cha nafasi ya urais iwe na marais watatu kwa pamoja ambao watatoka vyama vitatu tofauti na lazima wafanye kazi kwa pamoja. Ikitokea kutoelewana kwenye jambo fulani basi wenyewe watatu watapiga kura ya ndio kwa hivyo watakaokuwa pamoja wawili ndio watakaoshinda na utekelezaji utawafuata hao wawili. Itakuwa mfano wa kwanza Duniani. Sio kutegemea maamuzi ya mtu mmoja tu. Akikosea anatuangamiza mamilioni ya wa Tz. Kwa mtazamo huu tunawaweka pamoja E. Lowasa, Dr. Slaa na Prof. Lipumba
E
 
Back
Top Bottom