Huyu ndiye mume wangu


limbwata ya mkoa gani
 
Umeolewa na msukule wewe. Hiyo ni taadhari tu nimekupa.
 
Bibi mda huu unatakiwa uwe umelala ili jioni ukiamka unakuta babu tayari amesha kupikia chapati.

Maendeleo hayana chama
Mpishi ni mimi yeye anapika kukiwa na imejensi
 
afu hapo hapo utaambiwa mzigo anapiga ki1 tu........ na kwa mweiz mara 1. kwa jinsi anavoionea huruma K!
 
hongera dada sky

watu hawajui wanawake sisi ukicheza na hisia zetu unatukamata,

Mwanaume yoyote anayeonyesha huruma na sisi huwa anazidisha mapenzi kwake....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…