Huyu mwanaume simuelewi

🀣🀣🀣🀣Hahahaaaaa
 
πŸ˜‚ Mabaharia waandamizi!
 
Teh! Teh!
Ujue romanticism nayo ikizidi ni tatizo lingne? I have a friend, she's super romantic mpaka mwanzoni mwanzoni nikawa nahisi maybe she's lesbian nikawa namkwepa kumbe wala mtoto wa watu ana mahaba yake tu mixer madeko
Kuna lugha ambayo mwanamke akitumia inakua haipendezi au sijui ni haijazoeleka, yani ni lugha ya machalii, hata mwanaume akiitumia wakati mwingine unakua unamuweka kwenye kundi la wanaume machalii au unaweza kusema wahu i flani hivi au sijui tueseme inaondoa ile decency ya mtu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…