Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Hujanikosea, Mimi ndo nakukosea..

I will cherish the moment we had..

Kama hujaelewa hayo maneno mkuu utakuwa na utindio wa ubongo na macho. Hilo la kwanza ndio kila kitu. Kuna mtu anamfanyaga matusi..
 
Kama ni kweli, huyo mwanamke achana naye ilimradi umeishamt*mb@ ny*ge zako zimepungua. Leave her alone and forget.
 
Hahahahaha kapata danga huyo ....yaani wanawake sisi loool.....ukiona mtu anakuja kukwambia nimeona bora tuishie hapa endelea tu na maisha yako ...ujue kabisaaa kapata mwanaume mwingine ...ila shukuru amekwambia kuliko angekuzungusha ...mwache aende
Upogooo
 
Hahahahaha billgate kaachwa ..kweli huu upepo umechange .
Mkuu hapo si ashakuchana tayari wee pambana tuu na hali yako hamna namna
 
Kwa hiyo humu wengi wetu mwanamke akikuchezea akili unamchunia na kumwachia pesa aliyokopa,mambo ya kusema mwanamke hadaiwi ni uswahili ambao niliuacha zamani sana na faida yake ninaiona.
 
Kwa hiyo humu wengi wetu mwanamke akikuchezea akili unamchunia na kumwachia pesa aliyokopa,mambo ya kusema mwanamke hadaiwi ni uswahili ambao niliuacha zamani sana na faida yake ninaiona.
Tukiendelea kuwalegezea watazoea, sifa ya mwanaume ni kuwa strict kwenye mambo ya msingi. Bongo watu wengi wangekuwa wanamiliki gun it could be a disaster
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom