Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Mjibu "OK".Hili jibu huwa linawaumiza sana nimekuwa nikilitumia sana na limeonesha matokeo chanya maana unamuachia homework nayeye ajiulize ina maana kumbe alikuwa hanipendi?Mbona hajaumia?So muda wote nimejicholesha kwake?
Ukishamjibu hivyo kaa zake sehemu tulvu ukitafakari maisha yajayo.

Always use them against them and remember there is no easy task in a battle field.
 
umeona wapi demu hasa uliyetembea naye arudishe pesa?
tena walipeana bila maandishi sababu ya mahaba.
hapo hakuna pesa kurudishwa, vinginevyo angetuma pesa kwanza ndipo aandiko hizo txt
Asipotamka kwamba amesamehe hiyo pesa, litaendelea kuwa deni hata baada ya wao kutoweka duniani. Kwa hiyo usichukulie hivi vitu kirahisi rahisi, epuka kumsababishia mtu akaishi na kinyongo namna hiyo, lazima itakugharimu somewhere
 
Mjibu "OK".Hili jibu huwa linawaumiza sana nimekuwa nikilitumia sana na limeonesha matokeo chanya maana unamuachia homework nayeye ajiulize ina maana kumbe alikuwa hanipendi?Mbona hajaumia?So muda wote nimejicholesha kwake?
Ukishamjibu hivyo kaa zake sehemu tulvu ukitafakari maisha yajayo.

Always use them against them and remember there is no easy task in a battle field.
OK
 
Usipende kuwa na kauli mbaya hata kama yeye ndo kakukosea mjibu hivi


Mpenziii wangu najua wewe u mwanadamu kama mwanadamu mwingine kukosea ni jambo la kawaida na kuomba msamaha ni hatua nyingine . nakupenda mno sijui hata naweza semaje. Nikiwa mwanaume nimelia machozi kwani nilikuzoea mno penzi lako tamu kuliko umande arabuni, nimeumia, nimesononeka lkn kwanini Mimi nimekusahehe hata kama sijajua nini ulinikosea . please be at my bosom, wewe zaidi ya rafiki , fahari yangu umenitesa hakika hakuna mwanamke atakayeziba pengo na sidhani kama ntapata kweli

Lkn siwezi pinga maamuzi yako , nakutakia kila la kheri uendako ntakukumbuka daima . Nakupenda bby.

Unaweza kuibadirisha kiingereza mwanaume anayejua haachwi hivi hivi lzm kuna siku atarudi angalau uwe mchepuko mkomavu
Haya maneno ni ya kutumia ukiwa unatongoza yani bado unabembeleza kimwama mpya, sio jitu kipo linapigwa kila style na jamaa mwingine.
 
Haya maneno ni ya kutumia ukiwa unatongoza yani bado unabembeleza kimwama mpya, sio jitu kipo linapigwa kila style na jamaa mwingine.
Ujuaji wako utakufanya ujute siku moja

Nakuambia kuachana kunyonyana siyo kukosana ktk mambo mengine ya kijmii

Akikuacha heli aende lkn Mimi siwezi kumuaga vibaya maana najua dunia ni duara
 
Mzee hukuwahi kufanya hesabu za kusimplify, yaan kakurahisishia maisha, what you need to do, usijibu hiyo sms na akipiga usipokee, akija kwako mwambia ulikuwa unatoka, jifanye expensive kidogo, hawa watu huwa hawawezi kuresist kwa wanaume viburi. Jifanya hukuwahi kukutana naye. Akipiga usipokee
 
Mnaomwambia A move on bila kumtafuta tena sijui kama mnaelewa maumivu yake vizuri na uchizi ambao mtu unaweza kupata kwa mawazo. Heri umtafute muachane kwa amani tu. Japo hata akikwambia sababu haitasaidia lakni si sawa na kuugulia bure
 
Mnaomwambia A move on bila kumtafuta tena sijui kama mnaelewa maumivu yake vizuri na uchizi ambao mtu unaweza kupata kwa mawazo. Heri umtafute muachane kwa amani tu. Japo hata akikwambia sababu haitasaidia lakni si sawa na kuugulia bure
@Miss powers umesoma txt zote?
huyo dada ameonyesha wazi hata wakae wazungumze kwani amejihukumu mwenyewe kuwa kuna mambo ya siri alikuwa akimsaliti jamaa, na hii inadhihirisha wazi kuwa alikuwepo kwa Bill kimaslahi na sio kuyajenga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom