Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Usipende kuwa na kauli mbaya hata kama yeye ndo kakukosea mjibu hivi


Mpenziii wangu najua wewe u mwanadamu kama mwanadamu mwingine kukosea ni jambo la kawaida na kuomba msamaha ni hatua nyingine . nakupenda mno sijui hata naweza semaje. Nikiwa mwanaume nimelia machozi kwani nilikuzoea mno penzi lako tamu kuliko umande arabuni, nimeumia, nimesononeka lkn kwanini Mimi nimekusahehe hata kama sijajua nini ulinikosea . please be at my bosom, wewe zaidi ya rafiki , fahari yangu umenitesa hakika hakuna mwanamke atakayeziba pengo na sidhani kama ntapata kweli

Lkn siwezi pinga maamuzi yako , nakutakia kila la kheri uendako ntakukumbuka daima . Nakupenda bby.

Unaweza kuibadirisha kiingereza mwanaume anayejua haachwi hivi hivi lzm kuna siku atarudi angalau uwe mchepuko mkomavu
 
Usipende kuwa na kauli mbaya hata kama yeye ndo kakukosea mjibu hivi


Mpenziii wangu najua wewe u mwanadamu kama mwanadamu mwingine kukosea ni jambo la kawaida na kuomba msamaha ni hatua nyingine . nakupenda mno sijui hata naweza semaje. Nikiwa mwanaume nimelia machozi kwani nilikuzoea mno penzi lako tamu kuliko umande arabuni, nimeumia, nimesononeka lkn kwanini Mimi nimekusahehe hata kama sijajua nini ulinikosea . please be at my bosom, wewe zaidi ya rafiki , fahari yangu umenitesa hakika hakuna mwanamke atakayeziba pengo na sidhani kama ntapata kweli

Lkn siwezi pinga maamuzi yako , nakutakia kila la kheri uendako ntakukumbuka daima . Nakupenda bby.

Unaweza kuibadirisha kiingereza mwanaume anayejua haachwi hivi hivi lzm kuna siku atarudi angalau uwe mchepuko mkomavu
Energy ya kumwandikia upupu huu mtu ambaye unajua yuko na mwanaume mwingine unaitoa wapi?

Mpaka wewe anakuacha jua kuna kitu kakiona kwingine ambacho hakipatagi kwako.

So stay calm and move on.
 
Energy ya kumwandikia upupu huu mtu ambaye unajua yuko na mwanaume mwingine unaitoa wapi?

Mpaka wewe anakuacha jua kuna kitu kakiona kwingine ambacho hakipatagi kwako.

So stay calm and move on.
Nimesema usipende kuachana kwa Shari kaamua kukuacha wewe hakuna shida usionyeshe kama hakuwa na manufaa kwako . jua hujui kesho itakuwaje maisha ni mzunguko ujumbe kama huo lzm alie kwa nini uhuzunike pekee yako na yeye mpelekee kilio

Lkn kwa SMS hizo anaweza akawa anamjaribu aone anapendwa au LA

Mwanamke kiumbe dhaifu ujue
 
Pole mkuu, hapo tayari umeshapigwa kibuyu, aka buti. Shukuru Mungu huyo mdada amekuwa mkweli. Ukweli unauma, bora muachane sasa hivi kuliko kuja kusumbuana baadae. Inaelekea amepata pengine kwenye rutuba zaidi na majani yake ni ya kijani iliokolea. Move on bro.
 
Nimesema usipende kuachana kwa Shari kaamua kukuacha wewe hakuna shida usionyeshe kama hakuwa na manufaa kwako . jua hujui kesho itakuwaje maisha ni mzunguko ujumbe kama huo lzm alie kwa nini uhuzunike pekee yako na yeye mpelekee kilio

Lkn kwa SMS hizo anaweza akawa anamjaribu aone anapendwa au LA

Mwanamke kiumbe dhaifu ujue
Akili za kuambiwa achanganye na zake, kwenye mishe za mapenzi kuna mambo mengi ya ajabu yanatokeaga, wa pembeni tunatoa ushauri mwingine na wao wanaibuka na solution nyingine.

Kazi inabaki kwenu mliosema waachane, wanabaki wanawachora.

Ila mwanamke akishaniacha akaenda kwa mwanaume mwingine, sihitaji kushaurisha yeyote, sihitaji tafakari, sihitaji kujiuliza.

Labda tu kama namtegemea yeye kimaisha.
 
Akili za kuambiwa achanganye na zake, kwenye mishe za mapenzi kuna mambo mengi ya ajabu yanatokeaga, wa pembeni tunatoa ushauri mwingine na wao wanaibuka na solution nyingine.

Kazi inabaki kwenu mliosema waachane, wanabaki wanawachora.

Ila mwanamke akishaniacha akaenda kwa mwanaume mwingine, sihitaji kushaurisha yeyote, sihitaji tafakari, sihitaji kujiuliza.

Labda tu kama namtegemea yeye kimaisha.
Coup ukitoa ushauri kwa kusikiliza pande moja utapata shida sana wanajuana wao

Rai yangu lzm nimpe ujumbe ambo hata akiwa anadu na huyo mpya kwake amabaye ni mkuukuu kwa mwingine akumbuke

Na ikitokea wamehitilafiana lzm alie kwa kunikumbuka

Ndugu elewa humu ni greater thinkers
 
Akili za kuambiwa achanganye na zake, kwenye mishe za mapenzi kuna mambo mengi ya ajabu yanatokeaga, wa pembeni tunatoa ushauri mwingine na wao wanaibuka na solution nyingine.

Kazi inabaki kwenu mliosema waachane, wanabaki wanawachora.

Ila mwanamke akishaniacha akaenda kwa mwanaume mwingine, sihitaji kushaurisha yeyote, sihitaji tafakari, sihitaji kujiuliza.

Labda tu kama namtegemea yeye kimaisha.
uko sahihi sana, akiniacha wala sitaongelea habari zake popote na sitaki mtu aniulize
 
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
Hahahaaaaa!!! Yaani nimecheka jamani
 
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
Buhahaha
 
Pole songa mbele
Kama unampenda muite mkutane akupe sababu za msingi akikataa mpotezee mazima huwa hawachukui round wanarudia matapishi yao
Amuite kwa lipi? aachane kabisa na huo upuuzi, aliyelianzisha ndo anatakiwa alimalize mwenyewe. Cha muhimu kwa sasa asubirie hiyo meseji ya M-PESA
 
Usipende kuwa na kauli mbaya hata kama yeye ndo kakukosea mjibu hivi


Mpenziii wangu najua wewe u mwanadamu kama mwanadamu mwingine kukosea ni jambo la kawaida na kuomba msamaha ni hatua nyingine . nakupenda mno sijui hata naweza semaje. Nikiwa mwanaume nimelia machozi kwani nilikuzoea mno penzi lako tamu kuliko umande arabuni, nimeumia, nimesononeka lkn kwanini Mimi nimekusahehe hata kama sijajua nini ulinikosea . please be at my bosom, wewe zaidi ya rafiki , fahari yangu umenitesa hakika hakuna mwanamke atakayeziba pengo na sidhani kama ntapata kweli

Lkn siwezi pinga maamuzi yako , nakutakia kila la kheri uendako ntakukumbuka daima . Nakupenda bby.

Unaweza kuibadirisha kiingereza mwanaume anayejua haachwi hivi hivi lzm kuna siku atarudi angalau uwe mchepuko mkomavu
Hahaha..unampigia mbuzi gitaa, don't be so soft man. Yaani uamue kuwa mchepuko wa demu ambaye ameshakuacha!?
 
ukimtumia picha wakati huu naye akiwa kwenye penzi zito haitamuuma, dawa yake ni kutomsemesha kwa kipindi flani hadi huyo mfadhili mpya aanze kumletea mapichapicha.
siku akianza kujirudi kwako ndipo unaweka silaha zako mpya hadharani, hii itampa mateso na majuto.
nashauri huyu jamaa ale kimya kabisa, mbona demu atajiletaga mwenyewe tu
Mkuu inabidi asubirie mpaka hela zake zikisharudishwa maaana akionesha sasa hivi pesa haitarudishwa
 
Mkuu inabidi asubirie mpaka hela zake zikisharudishwa maaana akionesha sasa hivi pesa haitarudishwa
umeona wapi demu hasa uliyetembea naye arudishe pesa?
tena walipeana bila maandishi sababu ya mahaba.
hapo hakuna pesa kurudishwa, vinginevyo angetuma pesa kwanza ndipo aandiko hizo txt
 
Hahahahaha kapata danga huyo ....yaani wanawake sisi loool.....ukiona mtu anakuja kukwambia nimeona bora tuishie hapa endelea tu na maisha yako ...ujue kabisaaa kapata mwanaume mwingine ...ila shukuru amekwambia kuliko angekuzungusha ...mwache aende
nyie ni watu muhimu sana kwetu lkn siku hizi mioyo yenu inasaka zaidi wafadhili kuliko mapenzi ya dhati
 
nyie ni watu muhimu sana kwetu lkn siku hizi mioyo yenu inasaka zaidi wafadhili kuliko mapenzi ya dhati
Inategemea na aina ya mwanamke uliyenae .....sio wote wako hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom