Huyu mwanamke aliniharibia maisha kabisa....

Huyu mwanamke aliniharibia maisha kabisa....

Dah Kama ulikuwa mlevi hata mimi ningekuwa Rafiki yako ningekukimbia tu.... huwa sielewi why siwapendi walevi ila wanywaji huwa nawaona fresh tu... Yaani mtu anakunywa Pombe hadi anakuwa chakari kha....! Tatizo linakuja pale mlevi hashauriki Yupo Jamaa nilifanya naye kazi full tabia hizo ukishauri anasikiliza mno ila ukimuacha anaenda tafuta viroba.... dah pole sana mkuu Queen achana naye kabisa ni Sumu huyo
 
Mara nyingi hizi huwa ni ndoto za vijana wanaoanza mapenzi...
 
Hadithi mzuri sana bado kidogo umfikie shigongo pambana. Mulugo akizisoma ataweka kwenye mtahala wa elimu kuongeza div 5
 
wewe bulola umetukana ndugu zako wote wenye jinsia ya queen, eti 'wadudu ni wanyama' umezaliwa na mdudu wewe? Umeoa au una girlfrnd mdudu na unalala nae..! Agrrrrrrrrr!!!!
Mimi sitaki tena hawa wadudu nilishatendwa,kazi yangu siku hizi ninawakanyaga tu
 
hawana mana hawa watu ndugu jua mipango yako tu ila next time usikubali kuharibu maisha yako kwaajili ya mapenz jiamin unaweza kumpata utakaye mtaka ww,naamn wamesikia ushaur wako
 
1005409_376225019155696_760214894_n.jpg

Namuona Ghati yuleee anajiandaaa kwenda kuchunga !!!
 
Namuona Ghati yuleee anajiandaaa kwenda kuchunga !!!

hahaaaa!!! mkuu una macho wewe!!

btw, nikioa, whether ni descent woman ama nini, lazima akumbane na haya maisha!

atakamua sana maziwa hapa, na ikiwezekana ataenda kuchunga pia!
 
Naona umekuja kunitangaza huku jf kua nakuomba turudiane!!?haha utakiona cha moto...mie queen hahaha
 
Jipongeze mkuu na mshukuru sana huyo mdudu(queen) kama unavomuita kwani alichokufanyia ama maamuzi yake yamepelekea mafanikio yako.Mwite mpige kilaji kama ni wa ivo then mueleze kinagaubaga kua wewe na yeye basiii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom