Huyu mwanamke aliniharibia maisha kabisa....

Huyu mwanamke aliniharibia maisha kabisa....

If someone wanna walk out of ur life,let them go,cause half these people you been sitting around crying about and worring about,two and three years from now you aint even gonna remember their last name##Madea##.well she is acting,a very good actress,she can even win a golden globe...TAFAKARI
 
1005409_376225019155696_760214894_n.jpg

hahahaha! Asantee hawa jamaa sijui wanamtindio wa ubongo, kila kitu picha! Mamaae bora umewaekea.
 
Na wewe fanya juu chin umchukue rafik yake,malipo huwa ni hapa hapa dunuan mbingun hakuna malipo
 
Huyo ana njaa na tamaa wala siyo mapenzi, mnyama huyo kaka hafai kuwa mke
 
ndivyo waliyo hao wadudu ni wanyama sana,mwambie aendelee na huyo,huyo m_sayi@yahoo.com

wewe bulola umetukana ndugu zako wote wenye jinsia ya queen, eti 'wadudu ni wanyama' umezaliwa na mdudu wewe? Umeoa au una girlfrnd mdudu na unalala nae..! Agrrrrrrrrr!!!!
 
Uusiniulize kwanini..sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi kama pesa we kunywa ntanunua..
Mi mwanzo sikuamin...nikajuaga vya kuzua..
Kumbe mjinga ni mimi ninayetunza wenzangu wanachukua..
Aii ooh mapenzi...mapenzi yamenifanya ka mtoto nilie vibaya....

NAIMBA TU...pole na hongera mkuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom