Huyu mwanamke aliniharibia maisha kabisa....

Huyu mwanamke aliniharibia maisha kabisa....

1005409_376225019155696_760214894_n.jpg

Hahahahhaaaaa!! Safi saaaaana hii picha

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Uusiniulize kwanini..sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi kama pesa we kunywa ntanunua..
Mi mwanzo sikuamin...nikajuaga vya kuzua..
Kumbe mjinga ni mimi ninayetunza wenzangu wanachukua..
Aii ooh mapenzi...mapenzi yamenifanya ka mtoto nilie vibaya....

NAIMBA TU...pole na hongera mkuu...

moyo unauma!!!

sad-man-forehead-on-the-wall.JPG
 
Pole ushiboy kwa yalokukuta na hongera kwa kufanikiwa kushinda mitihani ulokuwa nayo.

Jambo la msingi ni kutompa nafasi kamwe usijaribu kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Na wewe fanya juu chin
umchukue rafik yake,malipo huwa ni hapa hapa dunuan mbingun hakuna
malipo

Mkuu, dhambi nilizonazo ninyingi kiaskwamba sitaki kuongeza zingine.
 
Pole
ushiboy kwa yalokukuta na hongera kwa
kufanikiwa kushinda mitihani ulokuwa nayo.

Jambo la msingi ni kutompa nafasi kamwe usijaribu kabisa.

Thank Luv
 
Last edited by a moderator:
We utakuwa ndugu na Shigongo, unajua kutunga sana love story, huna mpango wa kutoa kitabu? Nakisubiri.
 
Tupa kule! Usikubali kurudia matapishi. Mungu alishakuonesha kuwa Qeen hapaswi kuwa mke wako au unataka ashuke toka mbinguni? Mimi nkishajua usaliti kama huo tena hata cjaingia kwenye ndoa nae ntajua Mungu ameniambia hapo nilipo siyo mahali sahihi.
 
kuna wakati maisha yanaweza kukuweka njia panda mpaka ukachanganyikiwa
 
Msamehe at ur own risk,once a cheater,always a cheater
 
Kamanda potezea kwani umebadilika nini mpaka akutake tena?mchunie uyo kicheche kafuata pesa hana lolote...
 
Kumrudia ndilo kosa baya zaidi kuliko maelezo. Una kila kielelezo kwamba Queen hakuwa akikupenda na kamwe hatakupenda.
Amejirejesha kukuvuna tena na ikibidi safari hii kukumaliza kabisa.
Huyo ni wa kuogopwa kama ukoma na hafai hata kumgeuzia uso.
Nakushauri fanya yafuatayo: block namba yake ili akikutafuta asikupate asilani, mtumie ujumbe wa kistaarabu tu kwamba asikusumbue kwani wewe si mbwa hadi ule matapishi kwa maana anayekumulika mchana usiku atakuchoma kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom