mtoto matataa
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 391
- 249
hongera serengeti boy umemaliza tatizo la picha kwa bwana ushiboy...
yan naona huyu kalitafutia ufumbuzi tatizo la watu wanaopenda kuomba picha
Last edited by a moderator:
hongera serengeti boy umemaliza tatizo la picha kwa bwana ushiboy...
Weka picha tuone;
ndivyo waliyo hao wadudu ni wanyama sana,mwambie aendelee na huyo,huyo m_sayi@yahoo.com
Dah Pole kwa kupata ukichaa...mi nakushauri mwite ghetto halafu mwache kwa dharau kuu!! Halafu mtimue...ila make sure, shetani asikuingilie kati ukachanganyikiwa, mwombe Mungu na fanya kama nilivyokuagiza
Mkuu, asanta kwa ushauri.
Lakini minaogopa kutenda nisichopenda kutendewa, na roho ya kulipiza pia sina
Weka picha tuone;
hii kiboko,. Nimeipenda mkuu!!
ndivyo waliyo hao wadudu ni wanyama sana,mwambie aendelee na huyo,huyo m_sayi@yahoo.com
Haya kashaiona picha, Nadhani sasa atatoa comments-Nimeipenda-gah hii
ndivyo waliyo hao wadudu ni wanyama sana,mwambie aendelee na huyo,huyo m_sayi@yahoo.com
^^
Kila mmoja anastahili msamaha lakini si kwa kosa lile lile!
^^
Ni vizur kutokulipiza kisasi mwache Mungu alipize mwenyewe. Ila kama hii habar yako ni ya kweli basi kaa mbali na huyo Queen sbb sikuhizi mabint wanatumia hadi ushirikina. Usije kushangaa from know where wewe ndyo unaanza kumwomba msamaha. Kikubwa endelea kumwomba Mungu akupe mke ambaye atakupenda kwa dhati. All the best!