Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,231
6,471
Nimeangalia kipindi cha Ujenzi EATV nikamuona dada mdogo kiumri akiwa tayari kashajenga nyumba tatu Kubwa jijini Dar.

Anadai yeye huwa hapendi sana starehe ila starehe yake ni kujenga nyumba nzurinzuri. Kisa cha kuja hapa ni umri wake na vitu anavyomiliki.

Bahati mbaya Mtangazaji wa kipindi hicho cha ujenzi Basilisa John hakumuuliza siri ya mafanikio yake ili wanawake wengine wajitume pia. Hakuulizwa jina pia, zaidi ni kuonesha tu mijengo yake.

Japo Sina uhakika, Anaonekana hajaolewa. Aaaaaaaaaahhhhhhh
 
Yupo wapi tumsearch online
Huyo hapo fanya kumtafuta mkuu
Screenshot_20230616_145557_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom