Huyu mwamba namkubali sana

Huyu mwamba namkubali sana

Aya umeisha jua ni shabiki wa Chelsea utafanya nn sasa?
hata kama, jamaa ilitakiwa akaunti yake ifutwe mara moja.

Kuendelea kuwepo kwa akaunti kunafanya iwe rahisi kwa mtu kukusoma tabia na mienendo yako, ni rahisi kwake kujua udhaifu wako.

mfano mie kwa haraka tu nimejua jamaa ni shabiki wa chesii na pia anae mtoto wa kike anampenda, ana marafiki kadhaa ambao hupenda kuchat nao etc.
 
Humu ndani tuna vijana wengi ambao elimu zao ni zile za BRN ujuaji mwingi lakn hakuna anachokijua zaidi ya kufollow fb insta na Twitter habar za kijinga na udaku na hizo ndizo wao wanaziamini.. Sasa hivi vijana wengi kila anachosema kigogo ndio Hicho wanaamini. Kwahyo wakati mwingne no kuwaacha tu na ujuaji wao
IMG-20210320-WA0013.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu ndani tuna vijana wengi ambao elimu zao ni zile za BRN ujuaji mwingi lakn hakuna anachokijua zaidi ya kufollow fb insta na Twitter habar za kijinga na udaku na hizo ndizo wao wanaziamini.. Sasa hivi vijana wengi kila anachosema kigogo ndio Hicho wanaamini. Kwahyo wakati mwingne no kuwaacha tu na ujuaji waoView attachment 1730170

Sent using Jamii Forums mobile app
You are right
 
Unabisha kana kwamba unajua inabisha nini, kumbe hamna kitu.
Vyanzo vya kuaminika vinasema "amevuta" halafu wewe unabisha kana kwamba wewe ni yeye.
Taarifa za kuaminika kutoka kwa kigogo 😂😂😂 adhabu yako ni kufungwa kamba shingoni pamoja na jiwe zito na kutupwa baharini
 
Back
Top Bottom