nyamwingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 945
- 872
Chanzo kipi hicho ?Tunahitaji nasi kujiridhisha maana kumtangazia mwenzio kifo sio poa!Hatubishi Tunahitaji kujiridhishaUnabisha kana kwamba unajua inabisha nini, kumbe hamna kitu.
Vyanzo vya kuaminika vinasema "amevuta" halafu wewe unabisha kana kwamba wewe ni yeye.