kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
SijakuelewaUmeona wanasema alikuwa mwanajeshi kabla ya usalama sasa akili yako hatimae hata ingekuwa umeona picha zake mwaka 1990 ungesema alikuwa mwanajeshi.
SijakuelewaUmeona wanasema alikuwa mwanajeshi kabla ya usalama sasa akili yako hatimae hata ingekuwa umeona picha zake mwaka 1990 ungesema alikuwa mwanajeshi.
MSE...Sijakuelewa
πππππππ πππππππ πππππ πππππ. ππππππ ππππ ππππ ππππππππ.Nasikia kazikwa juzi huko kwao kanda ya kusini kusini!
Yupo mubashara viwanja vya Uhuru akiaga mwili.Nasikia kazikwa juzi huko kwao kanda ya kusini kusini!
Yupo hai.Nasikia kazikwa juzi huko kwao kanda ya kusini kusini!
Yupo namuona hapa UwanjaniNasikia ameterereka
kumuelewesha mtanzania ni issue sana! bora tusome tuAta kigogo hamkumuelewa vizuri kichwa cha heading pale alivyotoa iyo taarifa aliweka hashtag ya uncomfirmed inamaana hana uhakika nazo π―
Mwisho kuwa kwenye Facebook ilikuwa 2012. Mnakuwa mijitu mipuuzi iliyoshehen usaha kwenye bongo zenu.Duuh..
eti mlinzi wa raisi naye yupo kwenye fecibuku,
Bongo bado sana katika hizi nyanja za intellijensia...
Unamlinda raisi halafu unauza sura mitandaoni...na mapicha ya pozi, basi mweupe kabisa
anadukuliwa vizuri kisaikolojia
Kweli,yupo bado ni mzima,huyo hapo nyuma ya aliyekuwa ADC wa JPMSidhani kutakuwa na spinning tu ,mlinzi wa mwisho wa meko alikuwa yule Mpemba ndio wa mwisho mwisho kuwa nae ,mwamba alikuwa off kwa muda.
"Acheni Maskhara" nadhani ameshangaa sio kwamba amebisha. Nadhani wewe utakua sio Mtanzania, kiswahili kinakusumbua kidogo.Unabisha kana kwamba unajua inabisha nini, kumbe hamna kitu.
Vyanzo vya kuaminika vinasema "amevuta" halafu wewe unabisha kana kwamba wewe ni yeye.
Aione aiseKweli,yupo bado ni mzima,huyo hapo nyuma ya aliyekuwa ADC wa JPMView attachment 1730027
Haihusiani hata kama alikuwepo fecibuku 19 kweusi, kwenye nchi zinazojielewa, huyu ni bogus kwa intellijesia,Mwisho kuwa kwenye Facebook ilikuwa 2012. Mnakuwa mijitu mipuuzi iliyoshehen usaha kwenye bongo zenu.
Huoni aibu Sasa wakati jamaa yupo Tena front Bencher.Unabisha kana kwamba unajua inabisha nini, kumbe hamna kitu.
Vyanzo vya kuaminika vinasema "amevuta" halafu wewe unabisha kana kwamba wewe ni yeye.
Wanabadili Majina hawa. Kumbuka huyu ni Afisa kipenyo.Kuna uzi humu anajadiliwa kwa jina la Sebastian Mwavanga which is which?
Yeah hata mimi nimemwona nikashangaa walisema amekufaHuoni aibu Sasa wakati jamaa yupo Tena front Bencher.