Huyu mwamba namkubali sana

Huyu mwamba namkubali sana

Watu ni waongo mkuu kuna wngne wanasema vyanzo vya kuaminika ndo vimewaambia alafu Ukimkuta huyo anayekuambia anavyanzo vyakuaminika ni mchemsha Kahawa gengeni Eti anavyanzo vya kuaminika bongo bhna
Aya Leo tumemuona huyo kaka Yupo hai yeye nayule mwenye sigda kwenye Paji La uso wako Ibadan kwenye misa Maalum
Watanzania huu ni wakati wakushikamana na kuomba juu ya nchi yetu hukuna atakaye tuombea tusipo simama sis
Tuacheni maneno yakulokota njiani yenye uongo na taharuki tuipende nchi yetu tuwe wazalendo kwa nchi yetu
NAKUPENDA TANZANIA
Vita ya kiuchumi
 
Huyu hapaView attachment 1729898
FB_IMG_16162240431832004.jpg
 
Duuh..
eti mlinzi wa raisi naye yupo kwenye fecibuku,
Bongo bado sana katika hizi nyanja za intellijensia...
Unamlinda raisi halafu unauza sura mitandaoni...na mapicha ya pozi, basi mweupe kabisa
anadukuliwa vizuri kisaikolojia
Marron ballet trained islael
 
hata kama, jamaa ilitakiwa akaunti yake ifutwe mara moja.

Kuendelea kuwepo kwa akaunti kunafanya iwe rahisi kwa mtu kukusoma tabia na mienendo yako, ni rahisi kwake kujua udhaifu wako.

mfano mie kwa haraka tu nimejua jamaa ni shabiki wa chesii na pia anae mtoto wa kike anampenda, ana marafiki kadhaa ambao hupenda kuchat nao etc.
umejua ujinga

kwahiyo kujua kua ana mtoto ni nini sasa kuwa shabiki wa chelsea utasababisha chelsea ifungwe umpe presha??
hao marafiki asichat nao amekuwa kenge?
nonsense
 
Watu ni waongo mkuu kuna wngne wanasema vyanzo vya kuaminika ndo vimewaambia alafu Ukimkuta huyo anayekuambia anavyanzo vyakuaminika ni mchemsha Kahawa gengeni Eti anavyanzo vya kuaminika bongo bhna
Aya Leo tumemuona huyo kaka Yupo hai yeye nayule mwenye sigda kwenye Paji La uso wako Ibadan kwenye misa Maalum
Watanzania huu ni wakati wakushikamana na kuomba juu ya nchi yetu hukuna atakaye tuombea tusipo simama sis
Tuacheni maneno yakulokota njiani yenye uongo na taharuki tuipende nchi yetu tuwe wazalendo kwa nchi yetu
NAKUPENDA TANZANIA
Kwani huyu siyo yule mwenye sijda?mbona ni yeye huyu huyu au macho yang?!

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom