Huyu mwamba namkubali sana

Huyu mwamba namkubali sana

Hizi picha zinanikumbusha jamaa aliyemtishia nape na bastola. Wabongo walifukunyua hadi wakapata picha zake, anaitwa Herry Kisanduku.
Ona sasa watu washamjua kwa jina mlinzi wa marehemu Magufuli.
 
Hizi picha zinanikumbusha jamaa aliyemtishia nape na bastola. Wabongo walifukunyua hadi wakapata picha zake, anaitwa Herry Kisanduku.
Ona sasa watu washamjua kwa jina mlinzi wa marehemu Magufuli.
Mkuu kwenye lile tukio hakuwa yeye. Jamaa aliyehusika alikuwa tofauti na ni mrefu zaidi kuliko huyu.
 
Ingia Facebook nukuu zake zimesheheni madini sana. Huyu mwamba ni intelligent.
Duuh..
eti mlinzi wa raisi naye yupo kwenye fecibuku,
Bongo bado sana katika hizi nyanja za intellijensia...
Unamlinda raisi halafu unauza sura mitandaoni...na mapicha ya pozi, basi mweupe kabisa
anadukuliwa vizuri kisaikolojia
 
Duuh..
eti mlinzi wa raisi naye yupo kwenye fecibuku,
Bongo bado sana katika hizi nyanja za intellijensia...
Unamlinda raisi halafu unauza sura mitandaoni...na mapicha ya pozi, basi mweupe kabisa
anadukuliwa vizuri kisaikolojia
Wewe Ndo huelewi... Jamaa alikuwa Facebook Kabla hata Magufuli hajachaguliwa... Mara ya Mwisho alionekana 2012... Usome uelewe
 
Hizi picha zinanikumbusha jamaa aliyemtishia nape na bastola. Wabongo walifukunyua hadi wakapata picha zake, anaitwa Herry Kisanduku.
Ona sasa watu washamjua kwa jina mlinzi wa marehemu Magufuli.
Kumjua kwa jina ni rahisi, ana marafiki ndugu na kabla hajawa mlinzi wa raisi alikua anaishi kwenye jamii
 
Wewe Ndo huelewi... Jamaa alikuwa Facebook Kabla hata Magufuli hajachaguliwa... Mara ya Mwisho alionekana 2012... Usome uelewe
hata kama, jamaa ilitakiwa akaunti yake ifutwe mara moja.

Kuendelea kuwepo kwa akaunti kunafanya iwe rahisi kwa mtu kukusoma tabia na mienendo yako, ni rahisi kwake kujua udhaifu wako.

mfano mie kwa haraka tu nimejua jamaa ni shabiki wa chesii na pia anae mtoto wa kike anampenda, ana marafiki kadhaa ambao hupenda kuchat nao etc.
 
Back
Top Bottom