Aisee, mkuu hizi habari kuhusu kutangulia je Ni kweli...?
Shetani kawaumbua kwanini mtu usingizie kifo kwa mwenzio, MUNGU akupe maisha marefu
Maisha marefu kwa huyo mlinzi kwani nawewe ulizushiwa umezikwa?Maisha marefu mm au yeye?
Maisha marefu kwa huyo mlinzi kwani nawewe ulizushiwa umezikwa?
Bro sasa ndio unanichambaga ndugu yangu punguza mchambo bhn



hatuchambani tuna eleweshana tuhatuchambani tuna eleweshana tu
Una uchungu nae Sana..Haihusiani hata kama alikuwepo fecibuku 19 kweusi, kwenye nchi zinazojielewa, huyu ni bogus kwa intellijesia,
Lakini kiinchi cha wala vumbi, hamna uzito wowote duniani wa Raisi kuuwawa,
kwa hiyo ni sawa hata Dayamondi anaweza kuwa mlinzi wa raisi
Sio hivyo mkuuUna uchungu nae Sana..
Jamaa kakufanya Nini kwani mkuu,😅
Malukanga ni nini?Kabisa kama afya haipo sawa ,kisukari ,pressure ,group A ,obesity ,malukanga ni bora kutulia au kuchuka tahadhari kwa kiwango kikubwa! Jiwe alijiachia sana kipindi cha mwisho ,covid19 hailembi ,nikikumbuka Vedasto Msungu alivyokata moto ghafla ni hatari.
Malukanga ni Juliana aka Ngoma aka Miwaya aka Grid ya taifa aka Minyenyere aka Kuungua.Malukanga ni nini?
Ok sawaMalukanga ni Juliana aka Ngoma aka Miwaya aka Grid ya taifa aka Minyenyere aka Kuungua.
Hawa hapaME INABIDI TU NIAMINI KAFA MAANA NTABISHAJE BILA KUJUA..! MBELE YKE NYUMA YTU.![]()
kweli hata mi nilimwona jana alikua mzima tu.Jamaa yupo nimemuonna leo kwenye runinga kabisaa