Huyu mwamba namkubali sana

Huyu mwamba namkubali sana

Duuh..
eti mlinzi wa raisi naye yupo kwenye fecibuku,
Bongo bado sana katika hizi nyanja za intellijensia...
Unamlinda raisi halafu unauza sura mitandaoni...na mapicha ya pozi, basi mweupe kabisa
anadukuliwa vizuri kisaikolojia
Umeona eenhh???!!!.Hata mimi mwenyewe nashangaa.
 
hata kama, jamaa ilitakiwa akaunti yake ifutwe mara moja.

Kuendelea kuwepo kwa akaunti kunafanya iwe rahisi kwa mtu kukusoma tabia na mienendo yako, ni rahisi kwake kujua udhaifu wako.

mfano mie kwa haraka tu nimejua jamaa ni shabiki wa chesii na pia anae mtoto wa kike anampenda, ana marafiki kadhaa ambao hupenda kuchat nao etc.
Sure
 
Umeona eenhh???!!!.Hata mimi mwenyewe nashangaa.
Huku kwetu Bado sana mkuu....
Hebu Angalia hii habari ya FSB wa Russia walivyojifanya kusherekea na mapicha kilicho wapata...
 
Huku kwetu Bado sana mkuu....
Hebu Angalia hii habari ya FSB wa Russia walivyojifanya kusherekea na mapicha kilicho wapata...
Ukiingia kwenye FB akaunti ya jamaa last seen, kupost na kutumia ile akaunti yake ilikua ni 2012 na kipindi icho jamaa alikua bado hajajiunga na jeshi lolote la ulinzi na usalama kwahiyo kipindi icho alkua raia wa kawaida na alitumia FB lakini baada ya kupata kazi katika jeshi akaunti hiyo haijawai kutumika kabisa.
 
Ukiingia kwenye FB akaunti ya jamaa last seen, kupost na kutumia ile akaunti yake ilikua ni 2012 na kipindi icho jamaa alikua bado hajajiunga na jeshi lolote la ulinzi na usalama kwahiyo kipindi icho alkua raia wa kawaida na alitumia FB lakini baada ya kupata kazi katika jeshi akaunti hiyo haijawai kutumika kabisa.
Na hicho kigezo cha kuacha bado footprint zake kwenye mtandao kilitakiwa kitumike kumyima kazi...kwa nchi zinazojielewa kwenye nyanja ya ushushuu..
alitakiwa aifunge hiyo akaunti yake muda kabla kupewa kazi ya ulinzi wa Raisi lakini bongo ni nyoso tu, konneksheni za kipuuzi kama hizi ndio zinawapa kazi mafwamba kama hawa....
 
Na hicho kigezo cha kuacha bado footprint zake kwenye mtandao kilitakiwa kitumike kumyima kazi...kwa nchi zinazojielewa kwenye nyanja ya ushushuu..
alitakiwa aifunge hiyo akaunti yake muda kabla kupewa kazi ya ulinzi wa Raisi lakini bongo ni nyoso tu, konneksheni za kipuuzi kama hizi ndio zinawapa kazi mafwamba kama hawa....
Ohoo!! Okay Mkuu nilikua sielewi hilo
 
Back
Top Bottom