Huyu Kamera Man wa Chato katuharibia picha yetu ya karne

Huyu Kamera Man wa Chato katuharibia picha yetu ya karne

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
9,108
Reaction score
21,969
Guys
Kwani huyo mzee.wa mwisho kulia angemkata tu asionekane maana kaharibu kila.kitu tunashindwa kucoment.
IMG-20260529-WA0050.jpg
 
Guys
Kwani huyo mzee.wa mwisho kulia angemkata tu asionekane maana kaharibu kila.kitu tunashindwa kucoment.
View attachment 3597052

Yaani hawa MACCM ... sasa wameamua kuteka Msiba wa watu ili tu watafute platform ya KISIASA. Sasa hapo hata wanafamilia wamewekwa nyuma na pembeni kwa kujifanya ni Msiba wa Kitaifa.
 
Yaani hawa MACCM ... sasa wameamua kuteka Msiba wa watu ili tu watafute platform ya KISIASA. Sasa hapo hata wanafamilia wamewekwa nyuma na pembeni kwa kujifanya ni Msiba wa Kitaifa.
Huu msiba hauna uhusiano na ccm. Huyo mpuuzi aliyevaa shati la kijani angezuiwa getini asiingie.
 
Viongozi wa Serikali wa kubwa wote wapo Viongozi wa CCM wapo 🫎🫎🫎🫎🫎 mlitaka Serikali yote ikadhike Chato.
 
Hilo tukio ni zaidi ya msiba!

Hotuba ya nchimbi inatafakarisha sana!

Yaani anamaanisha kafika hapo kwa msaada wa jpm hivyo kavivaa viatu vyake ipasavyo!!

Namwelewa!!

Hizo suit nyeusi aiseh ni deadly!!
Huyu mtu wenu hatokuwa Rais kamwe!
Take it! Mshamsilibia.
 
Back
Top Bottom