Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Mwamunyange alikuwa hna mbwembwe sana hata ukikutana naye ni low profile!
Ila huyo wa msafara mpk wajeda wananunginia madirishani ni balaa
Ngj siku wachomoke madirishani lbda watajifunza

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Mwamnyange alikuwa jirani yetu na akitoka yeye ni gari yake tu na sana sana ni honi ila hakusimamisha mtu barabarani???? Mabeyo mbona wewe ni mtu wa amani kwa nini uwe hivi? I know you very well toka tupo Rwanda.
 
Cheo chake nchake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general... general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini


"Chief of staff ni cheo cha pili kutoka brigadier general " !!?
 
Mbona Mwamnyange alikuwa jirani yetu na akitoka yeye ni gari yake tu na sana sana ni honi ila hakusimamisha mtu barabarani???? Mabeyo mbona wewe ni mtu wa amani kwa nini uwe hivi? I know you very well toka tupo Rwanda.

Rwanda?
 
Chief of staff ni mnazimu Mkuu wa JWTZ ni kiongozi wa ngazi za juu Kabisa katika usalama wa Nchi hii, ndio mtu wa kwanza kujua idadi ya dhana za kivita. Ninachokuona ww unachokereka zaidi ni namna MPs wanavyomlinda, ndugu utaumia roho yako bure, na ww kama unajua Kabisa kuwa muda furani lazima mkuu apite Kwa nini usiwe unawahi mapema? Ili huo msafara usiwe unakukuta

Kweli Warusi wametuzidi.
 
Duu huyo kamanda angekua ndio Cdf cjui ingekuaje,tatizo wanalewa madaraka wanajiona wao ndio kila kitu dhidi ya wengine,hawa ndio wale wakishastaafu hawachukui mwaka unackia presha cjui nini sababu hivi vifavour vya kijinga wanakua hawavipati tena,mxiu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa kweli wanapaswa kuwa na walinzi lakini wakati mwingine wana exaggerate zaidi
Kuna siku natoka hotel moja kubwa nipo nje wakatoka mp wawili mmoja anaangalia kushoto mwingine kulia yaani utafikiri tunavamiwa yaani kama wana act movie kabisa na mimi nikajisemea sijui nilale chini ku take cover maana na mimi sio wa spotispoti
Basi katoka bosi na mbembwe zote zile gari likakataa kuwaka
Mimi bado naangalia movie tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Nauona uongo flani hapa... Gari ya kiongozi inasubiri apande ndo iwashwe?? Au ulisimuliwa sehemu.. Labda kama ilikuwa movie kweli kama unavyosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom