Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,756
NI MIVUMONI NIMEKUMBUKA...... SIYO MADALE WALA WAZO.
NI MIVUMONI NIMEKUMBUKA...... SIYO MADALE WALA WAZO.
Ujinga tu ndugu yangu.Kuna watu wako hivyo, yaani ujinga ujinga tu.
Kwa hiyo unata chief of staff akae foleni?Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi
Mhh!ungeandika barua ya maoni.ukaifikishe pale makao makuu upanga.
Mkabidhi mlinzi ataipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa gentleman sana wallahNiliwahi kukutana na davis mwamunyange kwenye foleni tena akiwa hana ata gari yenye 4 stars plate number nilimgundua alivyofungua kioo ndio nkampungia mkono CDF huyu makini kabisa kupata kutokea ktk nchi hii
Mwamunyange alikuwa anapita kistaarab kabisa. Hana kwere baba wa watuMkuu mimi ni mzoefu Wa hiyo barabara tangu enzi za mkwere kila asubuhi na jioni lazima kunakuwa na ving'ora vya hawa wajomba na tulishazoea huo utaratibu, mkuu all in all heshimu mamlaka husika hasa hawa mabaka mabaka ukileta ujuaji mwingi hawakawii kukufundisha adabu mpaka uhame mji na kuwachukia milele, mbona misafara ya rais mnapigishwa foleni mpaka Masaa mawili hulalamiki?
Kumbe lile wazo la kuwapa nafasi nyingine nyeti limepata majibu kwahiyo wakiwa karibu na jamii watagusa interest zenu sidhani kama huwezi kuvumilia dk.10 tu apite wala hupungukiwi kitu lakini kwakuwa tumezoea kulalamika baso sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni luteni generali, cheo cha pili toka GeneraliCheo chake ni Chief of Staff, ni cheo cha pili kutoka brigedia general...kama ukifuatilia zaidi unaweza kulipata jina lake mahali fulani naamini
huyo baba Mungu ambariki sana.Niliwahi kukutana na davis mwamunyange kwenye foleni tena akiwa hana ata gari yenye 4 stars plate number nilimgundua alivyofungua kioo ndio nkampungia mkono CDF huyu makini kabisa kupata kutokea ktk nchi hii
bado tupo matanga ya Ruge na Kibonde!Mkuu keshô andika bango lako kuelezea haya yote kisha simama pale Mwenge barabaràni uwaonyeshe hao wanaoning'inia milangoni
Kula kwanza ushibe alafu ziada ndio uwape wengine hii ndio maana nzuri ya usemi wako.
Najua kuna watu wa system humu wataifikisha salamu yangu kwa niaba ya wengi....heri kuongea kuliko kukaa kimya!
Yes ni KP himself mzee wa totoz
Ndugu kuwa makini na huyo unayemuambia achunge sana, huna mamlaka wala uwezo wa kunitisha kizembe...
Thubutu we uoni Bwana JoHN anaongeza siku tu mara utasikia kabla ya mwaka kuisha ukiisha mwakani mwezi X, mwezi X Ukifika kauchuna
Narudia tena. "CHUNGA SANA"Ndugu kuwa makini na huyo unayemuambia achunge sana, huna mamlaka wala uwezo wa kunitisha kizembe...
Usithubutu tena kunipiga mkwara Mbuzi namna hii...