Mkuu keshô andika bango lako kuelezea haya yote kisha simama pale Mwenge barabaràni uwaonyeshe hao wanaoning'inia milangoni
🤣🤣🤣🤣unamtakia nn kwan!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu keshô andika bango lako kuelezea haya yote kisha simama pale Mwenge barabaràni uwaonyeshe hao wanaoning'inia milangoni
Mabeberu weusiMuda mwingine tunawalalamikia wazungu(Mabeberu) ila ukweli kuna ujinga sana Africa yetu
Wivu gani mkuu ? Kwani walipa Kodi hawasumbuliwi? Si anasema kweliKiwango chako Wivu kimeshafika hadi 85% sasa...... Kitaalamu hii ni hatari kwa afya Mkuu.
Mimi ninayo kama yake,utayapenda au unapenda na mifuko yake pia?napenda macho ya D. Mwamunyange kweli
Chief of staff ni mnazimu Mkuu wa JWTZ ni kiongozi wa ngazi za juu Kabisa katika usalama wa Nchi hii, ndio mtu wa kwanza kujua idadi ya dhana za kivita. Ninachokuona ww unachokereka zaidi ni namna MPs wanavyomlinda, ndugu utaumia roho yako bure, na ww kama unajua Kabisa kuwa muda furani lazima mkuu apite Kwa nini usiwe unawahi mapema? Ili huo msafara usiwe unakukutaHabari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine... au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
Wewe ningerekodi wangeniambia sukuma kwa puaHahahahahaha....aise nimecheka kwa nguvu mno, kidogo nidondoke kwenye kiti, hahahahaha..
Laana za kunyanyasa raia hizo...
Hahahahahha...ni shida kwa kweli...ungerekodi mkuu tucheke zaidi...
HahaNa wewe anzisha msafara wako! Watu watajuaje sasa kama Chief of Staffs kapita? Mbaya zaid awe mhaya, mtakoma!
Ukiona kero sana, hamia huku kwetu Bonyokwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana kera sana wale jamaaHuyu afande kwanza anachelewa kazini, anapitaga tangi bovu around saa 1. Askari wale mbwembwe nyingi. Mara nyingi wanakuwa wrong lane na wanasababisha foleni upande ule unnecessarily
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu akishavua gwanda huwezi mjua. Boss kazini mume/baba nyumbani, muumini awapo kanisani.
Nilimuonaga msibani moro,jamaa mpole hata kuongea,anasalimiana na watu kwa unyenyekevu, nikajiuliza hivi huyu ni mkuu wa majeshi kweli? Aiseee..!Niliwahi kukutana na davis mwamunyange kwenye foleni tena akiwa hana ata gari yenye 4 stars plate number nilimgundua alivyofungua kioo ndio nkampungia mkono CDF huyu makini kabisa kupata kutokea ktk nchi hii
Jamaa anatoka zake Kilongawima wala hata hana Mbwembwe ...jioni akiwa nyumbani baada ya kazi anaingia kwenye kigari chake fulani hivi anasogea Jangwani Sea breeze meeting point na kidemu fulani cha bahari beach alichozaa nacho yupo Uk muda tuSijasema hana msafara, ila sio huo wa kukuta watu eti wananing'inia na mi bunduki, mfano mzuri enzi zile za mwamunyange, waulize watu wa mbezi beach, walikuwa wanashangaa kama ni yeye ndio anapita hakuna mishemishe kabisa!! Hayo mambo ni hulka ya mtu, tu ndio maana akistafu anapata shida sana, mwisho wa siku lazima awahi kufa!! Tungepata na kabila lake huyo tungeweza kwenda mbele zaidi inawezekana analaumiwa bure tu
mkubwa CDF lakini yeye ndo mtendaji mkuu wa jeshi baada ya CDF anakuja yeye
ungeandika barua ya maoni.ukaifikishe pale makao makuu upanga.
Mkabidhi mlinzi ataipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ile garage au?Mkuu keshô andika bango lako kuelezea haya yote kisha simama pale Mwenge barabaràni uwaonyeshe hao wanaoning'inia milangoni
Chunga sana. Narudia chunga sanaHabari wana jamvi,
Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla
bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila siku akisubiriwa kupita yeye na ma MPs wake wanaoning'inia kwenye milango bila sababu ya Msingi na wakati mwingine waki ning'inia na Bunduki na mavazi kama tuko Afghanistan...wakifokea watu barabarani kukaa pembeni tena wakiwa kwenye wrong Lane!
Binafsi ananikera sana, kama anahitajika kufika ofisini mapema si atoke mapema kama wengine... au ndio Madaraka ya Kulevya?
Kuna siku niliwahi kuongozana na gari ya Waziri wa Ulinzi toka Uwanja wa ndege wa Dsm hadi hadi nilipofika Mwenge nao wakiwa kwenye foleni bila hamaki wala papara.
Hebu mfikishieni salamu huyu Kamanda, awaambie walinzi wake kuwa wastaarabu na kutotukera wananchi.
kuna mmoja yupo huko madale ni mkubwa wa nini sijui..... ana V8 tatu wala hanaga mbwembwe saaana...... akifika kibaoni pale kingo'ra kinawashwa anasepa zake mjini..... amejenga hekalu kubwa sana huko madale.
Hata body language alikuwa mtulivu.Yes mwamunyange alikuwa smart ,
Ujinga mwingi :misafara ,usumbufu wa trafiki,viongozi wa ndiiooooo.Muda mwingine tunawalalamikia wazungu(Mabeberu) ila ukweli kuna ujinga sana Africa yetu