Huyu kaka jamani~~~ Nimjibuje mie!

Huyu kaka jamani~~~ Nimjibuje mie!

I thwea, wanapenda hadi kero
afu so protective kwa wapenzi wao
na kule mahala wanajituma ila kwa kukukuruka kama madenge

mara yuko miguuni, mara kashafika kichwani, dah hadi umwambie relax, am all yours.
hahahaaaaaaaaaaaa, ngoja mwenye mali aje asahihishe kwa evidence

Aisee😛oa
 
isostacy theory inahold sehemu nyingi sana.
Mzizi wa mt kilimanjaro umeenda chini zaidi ya mzizi wa mt meru.

Asitegemee miujiza

Kwani urefu au ufupi anaousema ni upi? Ajue mapenzi hayana hayo na akumbuke urefu wa mtu haupotei.
 
Kifupi mwambie umeshawahiwa na amecherawa na hupendelei kuwa na mwengine mueleweshe kwa ustaarabu japo atakuwa king'ang'anizi kwa ninavyowajua mimi watu wafupi naamini iko cku atakuelewa tu
 
Kama mambo yangekuwa hivi duniani Hasheem Thabit asingekuwa na dem aisee! Huo ni unyanyapaa wa hali ya juu!
 
mie nimeichukulia kama taste preference ya mteja.

Lazima ufeel value ya pesa ako ukinunua kitu

Kama mambo yangekuwa hivi duniani Hasheem Thabit asingekuwa na dem aisee! Huo ni unyanyapaa wa hali ya juu!
 
Zinduna
"plz dont play with shiling near da toilet hole"
usmkatili kiivyo coz naye ni binadamu na ufupi wake ni mapenzi ya ALLAH.
Nahic yuko real kwako na anakupenda kweli cos wafupi nao wanathamani yao kwenye kwenye suala zima la mapenzi.
 
Washawasha...kwani watu wafupi si ndio wanausishwa na uswagwaji!!...yaani wanasagwa
 
habari yako mamito,mwambie huye shem kuwa ww ushachumbiwa atii!atakuelewa,kuwa muwazi mapema ucmpotezee mda wake!
 
wewe ulilaaniwa mchana! utaniponza nipigwe makonzi, manake nikiangalia watu tu ntaanza kucheka!:A S embarassed::A S embarassed:
I thwea, wanapenda hadi kero
afu so protective kwa wapenzi wao
na kule mahala wanajituma ila kwa kukukuruka kama madenge

mara yuko miguuni, mara kashafika kichwani, dah hadi umwambie relax, am all yours.
 
kwani na abdallah kichwa wazi wake ni mfupi? muonje uone kwanza
 
wenzio wanalilia hata hao wafupi hawapati funguka mtoto wa kike muda ndo huu
 
go for yo heart if yu dont love hm tel him in a way he understands yu and do not give a reasn as to y yu dont love him! Raha ya mapenzi upende nawewe unapopendwa!
 
Back
Top Bottom