Huyu kaka jamani~~~ Nimjibuje mie!

Mwambie Akhah, wewe mfupi bana

Nimeshindwa hata sijui nifuate ushauri gani hapa~~~~~~~~maana kila mtu kasema lake. Ngoja niwasilianen na $Rejao, labda anaweza kuwa na mawazo mbadala
 
_
wabishi sana
walalamishi
wagomvi
wanajifanya kila kitu wao ndo wanajua
na mengine meeengi mtu kama huyu kumpenda
itahitaji extra heart kwakweli

/QUOTE]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom