Huyu demu vipi ?

Huyu demu vipi ?

kwa hiyo hicho ndicho ulichoenda kufuata huko ofisi mkuu,.

Endelea na tabia zako tu ila ujue unachofanya ni sawa na kumvua dada yako ama mzazi wako nguo ili upate kuona utupu wake!!

Vijana wa siku hizi wamethamini mapenzi kuliko hata kazi,. Unamkuta mtu kazunguka na bahasha mpaka soli ya kiatu imekwisha na akipata kazi anajisahau anafanya madudu kama haya,...





Shame!!!

Ushauri tosha kabisa huu
 
mkuu sio kila nyam inaliwa hii ndo kanuni ya maisha yangu, nikisema sili sili kweli hata kama ni kitamu,hasa loose balls,nikipiga sound nahisi nimetendewa haki. sipendi kumdhalilisha kwa wengine acha nimuinjoy pekeyangu bhana..

kwa hiyo unaona kumwambia ajifunue siyo kumdhalilisha? yeye anajifunua akijua ipo siku utakula tena ofisin humo humo alafu unakataaa tena
 
Mkuu weka na wasifu wako hapa ili wanajamvi
wajue kuwa wanatoa ushauri kwa mtu wa
namna gani.
 
afuu wewe unaelekea ndo wale wenye tabia chafu mpaka whatsup unaomba utumiwe picha za papuchi na nyonyo za wadada!mxiuuuu shame upon u! mi inanikeraga hiyo mitabia yao,,jieheshimu ofisini umeenda fanya kazi na siyo ufuska!!acha hzoo!
 
daa mchizi anaimbaa jukwaani.. miss chagga utaibiwa kuwa macho umetumwa hela mamaangu eti..

sitaibiwa hapa kama ana hla aka aniibe mie nizitumie vizuri nitakuwa bado natafuta hela..... usijali hapa nmaujanja yote yapo na sinaswi kwenye tundu bovu hata siku moja....
 
sasa kwani wanaonyesheana wapi hayo maungo yao

wachukue hata nyumba ya wageni wafanye hivyo,..... kuna chizi yangu mmoja yeye kapangisha chumba karibu na maeneo ya ofisi wanachangia kodi watu watatu kwa ajili ya kuchapa watoto wa watu .... siyo kwamba mimi ni chizi kama wao hapana....
 
trust me Swts demu ni mkali kwao zipo ana msimamo, thats why nashangaa amekuwa that easy..!
sasa mbona haviingiliani?tabia ya mtu na mali ni tofauti. ila kwanini utake kuona mapaja jamani af huna mpango?
 
Kama ndio mambo yanayofanyika huko maofisin haya,maendeleo tutakua tukiyaskia kwenye taarifa za habari tu.
 
kwa hiyo unaona kumwambia ajifunue siyo kumdhalilisha? yeye anajifunua akijua ipo siku utakula tena ofisin humo humo alafu unakataaa tena
trust me mis chagga she likes it kuliko ninavyoshobokea mimi, anajileta nami namkoleza ili asijisikie nimemtosa au nampuuzia.she feels hapy to do it
 
Kama ndio mambo yanayofanyika huko maofisin haya,maendeleo tutakua tukiyaskia kwenye taarifa za habari tu.
we unamaendeleo gani mpaka sasa..? kama nimekuzidi hunahaki ya kusema kitu
 
sasa mbona haviingiliani?tabia ya mtu na mali ni tofauti. ila kwanini utake kuona mapaja jamani af huna mpango?
mkuu unajua money inaheshima so i thought she is that high girl. na she feels hapy nikiyaona i m not forcing her
 
wachukue hata nyumba ya wageni wafanye hivyo,..... kuna chizi yangu mmoja yeye kapangisha chumba karibu na maeneo ya ofisi wanachangia kodi watu watatu kwa ajili ya kuchapa watoto wa watu .... siyo kwamba mimi ni chizi kama wao hapana....

sina mpango wa kupiga mzigo wakuu,hao jamaa lengo lao jingine tofauti na mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom