Huyu demu vipi ?

Huyu demu vipi ?

Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
SOKONI ulibahatika kupata selection?
 
Last edited by a moderator:
kwanini uombe uone?kwani we huna ujiangalie jamani?
Nanyie mnaoteaga mapopompo khaa
trust me Swts demu ni mkali kwao zipo ana msimamo, thats why nashangaa amekuwa that easy..!
 
Last edited by a moderator:
she doesn't sound lyk ur work mate..labda dada anae fagia unampa vimiambili vya chai unakuja kumwaibisha hapa

hahahhaa why,.? is it hard for you to believe, ukimuona ndo utazimia kabsaa, very repsectable and high class woman
 
Hapa mtaani kwetu kuna mwanamama ni kichaa naye ukimwambia afunue sketi huwa anafunua, ukimwambia aonyeshe nyonyo pia wala huwa hana hiyana.

Adios...
relating to the topic.. this is an insult!

that means vichaa wawili wamekutana, wanaonyeshana uvichaa wao, si ndio?
 
relating to the topic.. this is an insult!

that means vichaa wawili wamekutana, wanaonyeshana uvichaa wao, si ndio?

umekosea mkuu, hapa ni uwezo wa mmoja kumanipulate another person to do what he wants,whenever he wants and how he wants it to happen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom