Divisheni Faivu = Ufaulu usioridhisha
Divisheni Six = Ufaulu wa kuhuzunisha
ivoivo..!
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
hahaaahhaa sifanyi kazi milembe mkuu, kama vipi nikuunganishie upate kazi kama unapamaindi. ofisi letu la kisasa sio kama hayo maofisi yenu ya kizamani, zipo sehemu za kupumzikia,full refreshments na dstv bila kikomo,so tunajiachia lunch hours na baada ya kaziMnafanyia ofisi gani? Sio milembe hapo!! Maana inaonekana wote wawili ni wagonjwa wa Akili. Mahali pa kufunuliana nguo sio ofisini ila ni chumbani .akili zenu zikipona tuta washauri vizuri mahala sahihi pa kuonyeshana mapaja na matumbo na hata vikojoleo sio ofisini machizi nyie
ndo yapi hayo mkuu