Huyu demu vipi ?

Huyu demu vipi ?

Hahahaaaaaa uwiiii kwahio huyo "demu" ni kichaa?
kwani we unalazimishwaga kuvua..? kama ivo karipoti polisi,huo ni ubakaji, demu inatakiwa unamkontrol kwa remote,vua hiki anavua so ubaya ukowapi kama hana hiyana..?
 
Kula mzigo mkuu unasubiri nini au unataka kuona na kula kwa macho pekee.?
 
Wote wewe na huyu dada mnaitajika kupelekwa mirembe ASAP.
 
Kula mzigo mkuu unasubiri nini au unataka kuona na kula kwa macho pekee.?
mkuu laini laini naona vinaniondolea hadhi ya kuwa mwanaume wa kweli,ntaka kusumbuliwa sanaaa ndo raha yangu
 
umeomba amekuonesha, ushauri ni kwamba sehemu ya kazi haifai kwa mambo hayo. Kwa nini usimkaribishe kwako akuoneshe kila utakacho?
 
Leo mpige picha kila sehemu unayomwomba akuonyeshe akakuonesha sawa alafu uje unipe jibu..... Na wewe nawe nimeshindwa kukuelewa wenzio wanaomba kula kabisa wewe unaomba uonyeshwe mapaja mara tumbo unajitia genye tu ....
mkuu sio kila nyam inaliwa hii ndo kanuni ya maisha yangu, nikisema sili sili kweli hata kama ni kitamu,hasa loose balls,nikipiga sound nahisi nimetendewa haki. sipendi kumdhalilisha kwa wengine acha nimuinjoy pekeyangu bhana..
 
wewe na yeye wote mmejivuruga:A S-confused1:...........!!!!
 
wewe na yeye wote mmejivuruga:A S-confused1:...........!!!!
mi najielewa, nisingekuwa makini ningeua ofisini maana bonge la ofisi na lina masehemu ya kupumzikia kibaao
 
umeomba amekuonesha, ushauri ni kwamba sehemu ya kazi haifai kwa mambo hayo. Kwa nini usimkaribishe kwako akuoneshe kila utakacho?
ushauri mzuri ntaacha kumzingua,ila kwangu simpeleki maana najua atavua nguo kabsaa kama ofisini kafanya ivo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom