Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,297
Jirani Si yule wa pale gengeni?
Haswaaa....ukitaka akupe show yoyote wala huitaji kutoa kiingilio, ni full sinema ya bure bwerereee
Jirani Si yule wa pale gengeni?
kwa hiyo hicho ndicho ulichoenda kufuata huko ofisi mkuu,.
Endelea na tabia zako tu ila ujue unachofanya ni sawa na kumvua dada yako ama mzazi wako nguo ili upate kuona utupu wake!!
Vijana wa siku hizi wamethamini mapenzi kuliko hata kazi,. Unamkuta mtu kazunguka na bahasha mpaka soli ya kiatu imekwisha na akipata kazi anajisahau anafanya madudu kama haya,...
Shame!!!
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
Hapa mtaani kwetu kuna mwanamama ni kichaa naye ukimwambia afunue sketi huwa anafunua, ukimwambia aonyeshe nyonyo pia wala huwa hana hiyana.
Adios...
Wazee kuna demu mmoja
ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania
tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia
naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania.
Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri