Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
mkuu nakusoma vizuri sana ila nimejifunza kwamba the world is not fair, so chochote utafany lazima kina side effect, thus i better do it my way. thanks kwa ushauri wakookey lakinijua usipo mla huyo atakuchukia au atakuzushia ni huna nguvu any way
Mleta mada you sound like a stupid Idiot. Hivi kabla ya ku posts ulisoma kweli ulichoandika!! Hizi post za vivulana shida kweli
wachukue hata nyumba ya wageni wafanye hivyo,..... kuna chizi yangu mmoja yeye kapangisha chumba karibu na maeneo ya ofisi wanachangia kodi watu watatu kwa ajili ya kuchapa watoto wa watu .... siyo kwamba mimi ni chizi kama wao hapana....
mkuu nakusoma vizuri sana ila nimejifunza kwamba the world is not fair, so chochote utafany lazima kina side effect, thus i better do it my way. thanks kwa ushauri wako
mmmmh nafikiri hao wapo kwenye ule umri mmbaya 20-30, umri mbaya sana huo
Sasa hapa unataka ushauri wa nini ? kumbuka kua Mwanamke ni mama yako,mwanamke ni dada yako mwanamke ni bint yako mwanamke ni mke wako, jifunze kuwaheshimu sidhani kama mmoja katika hao akifanyiwa kama unavyofanya wewe na akiwa ni wako ungejisikiaje?....Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
ngoja nilete ubao na kalamu
dah mkuu fasta ivo nilete changu..!?
it seems hujitambui. we unadhani usinge mwambia afanye hivyo angefanya?natumaini ye si mgonjwa waaakili. tena uache huo upumbavu, ni udhalilishaji maeneo ya kazi, kosa hilo ukigundulika adhabu yake ni kufukuzwa kazi. so chagua kazi au mapenzi.