Unachosema hapa ni correlation siyo causation, mwanamke yeyote aliyesoma na ana uwezo wa kiuchumi hawezi kuvumilia unyanyasaji au udhalilishaji wa aina yoyote ile anapokuwa kwenye ndoa tofauti na mwanamke ambaye hajasoma, yeye analazimika kuvumilia chochote ili apate kukidhi mahitaji yake ya msingi, na hili kundi la wanawake ndiyo wengi na ndio aina ya wanawake ambao wanaume wengi wanawapenda, mbona liko wazi hili!
Kwa hiyo mimi talaka huwa naiona ni matokeo ya mwanamke kuwa na uwezo wa kutoka nje ya ndoa yenye matatizo.