LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Mshamba ni nani?
Jibu : Mshamba ni mshamba.
Haya sasa utamjuaje mshamba au huwa unatumia vigezo gani kuconclude kwamba mtu fulani ni mshamba?
Mimi huwaga naangalia vitu kadha wa kadha. Baadhi ya vitu hivyo ni hivi hapa chini👇
1. Akiwa anatumia True Caller.
Unapiga simu kwa Mwnyekiti mtendaji wa Bonyokwa halafu anapokea anataja jina lako " Hello Bwana Likud wa Jf habari yako" . Tayari najua nadili na mshamba.
2. Ana namba za simu ambazo ni unique.
Mfano: Ndugu zangu namba zangu za simu ni:
0766 22 33 44 au 0755 55 55 55 au 0765 11 22 33. Moja kwa moja huwaga najiridhisha kwamba nadili na mshamba. ( most of the time namba hizi huwaga wanazinunua kwa wale mawakala wanaopita barabarani)
3. Ana namba za simu zaidi ya moja za mitandao tofauti halafu zina fanana.
Mfano: Ndugu zangu mkitaka kunipata nitafuteni kupitia :
Tigo: 0712 35 67 89
Voda ; 0766 35 67 89.
Airtel: 0688 35 67 89.
siwezi kutaja vigezo vyote taka na Wewe vigezo vyako
UP DATES
4. kusikiliza redio
5. Kusikiliza redio wakati mechi mnaangalia kwenye tv . Anashangilia goli kabla ninyi wa kwenye tv hamjaona goli. Ole wako umwambie azime redio, wanakuwaga wakali hao hatari.
Jibu : Mshamba ni mshamba.
Haya sasa utamjuaje mshamba au huwa unatumia vigezo gani kuconclude kwamba mtu fulani ni mshamba?
Mimi huwaga naangalia vitu kadha wa kadha. Baadhi ya vitu hivyo ni hivi hapa chini👇
1. Akiwa anatumia True Caller.
Unapiga simu kwa Mwnyekiti mtendaji wa Bonyokwa halafu anapokea anataja jina lako " Hello Bwana Likud wa Jf habari yako" . Tayari najua nadili na mshamba.
2. Ana namba za simu ambazo ni unique.
Mfano: Ndugu zangu namba zangu za simu ni:
0766 22 33 44 au 0755 55 55 55 au 0765 11 22 33. Moja kwa moja huwaga najiridhisha kwamba nadili na mshamba. ( most of the time namba hizi huwaga wanazinunua kwa wale mawakala wanaopita barabarani)
3. Ana namba za simu zaidi ya moja za mitandao tofauti halafu zina fanana.
Mfano: Ndugu zangu mkitaka kunipata nitafuteni kupitia :
Tigo: 0712 35 67 89
Voda ; 0766 35 67 89.
Airtel: 0688 35 67 89.
siwezi kutaja vigezo vyote taka na Wewe vigezo vyako
UP DATES
4. kusikiliza redio
5. Kusikiliza redio wakati mechi mnaangalia kwenye tv . Anashangilia goli kabla ninyi wa kwenye tv hamjaona goli. Ole wako umwambie azime redio, wanakuwaga wakali hao hatari.