Pole sana mkuu ,utakuja pata zaidi ya hizo, siku zote pesa za wizi hazisaidii kitu zaidi ya kuongeza majanga.950k
Tupe story....Pole kuna mdada alipigwa 4m na hao hao matapeli hana hamu na iyo biashara
Ndo maana yake...!!! Nakumbuka mitandaoni siku za nyuma kulisambazwa clip fulani ya mwizi mtaalamu wa kompyuta ngazi ya diploma; alikamatwa na akawa anahojiwa na polisi kwa kichapo kikali akaelezea namna wanavyoiba akasema hivyo hivyo wanavyoeleza watu humu...
kwamba anaenda kwa wakala anaomba huduma halafu itafika kipindi ataomba simu ya wakala (ili aweke namba ya siri nadhani) na kwa haraka sana (si zaidi ya sekunde 30) atafanya matendo mawili..
Bongo ni nchi iliyojaa wazembe na wengi tumezoea kufanya vitu kwa mazoea ya kuigana. Nina uhakika wakala yeyote akiwa makini ni vigumu kutapeliwa. Tubadilike tumezidi kutokuwa makini.Ndo maana yake...!!! Nakumbuka mitandaoni siku za nyuma kulisambazwa clip fulani ya mwizi mtaalamu wa kompyuta ngazi ya diploma; alikamatwa na akawa anahojiwa na polisi kwa kichapo kikali akaelezea namna wanavyoiba akasema hivyo hivyo wanavyoeleza watu humu...
kwamba anaenda kwa wakala anaomba huduma halafu itafika kipindi ataomba simu ya wakala (ili aweke namba ya siri nadhani) na kwa haraka sana (si zaidi ya sekunde 30) atafanya matendo mawili.
Jina limeseviwa tigopesa kwenye simu yake and nothing more dramambona namba iliyoleta text zote inaonekana ni TIGOPESA?
bora umemalizia vzr,ila ungeishia kuwalaumu pekee mawakala ningekushangaa,. Umakini unakuwepo ila kuna siku tuu utaingia kwny 18 zao cheki mfano hzo msg kama una wateja wengi unasahau kuangalia salio kwa kubonyeza namba unaishia kuangalia salio la kwny msgBongo ni nchi iliyojaa wazembe na wengi tumezoea kufanya vitu kwa mazoea ya kuigana. Nina uhakika wakala yeyote akiwa makini ni vigumu kutapeliwa. Tubadilike tumezidi kutokuwa makini. Pia hizi kampuni za simu zinabeba lawama. Kwa nini hazifanyi jitihada yoyote kuondoa loopholes za utapeli kama huu? Ni siku nyingi watu wanalia kwa tatizo hili hili lakini wao hawajali kabisa.
Ajibu basi kama alimpa simuIla nadhani Kama alimpatia mteja simu Kuna mistake na kuna kitu wamefanya jamaa
Ukiwa makini hutasau hata kama una wateja wengi. Ikiwezekana andika hatua zote kwenye karatasi uiweke mbele yako. Haya malalamiko ya kuibiwa ni mengi sana na inatokea mara mara. Tukubali tu wabongo hatuko makini kwa vitu tufanyavyo.bora umemalizia vzr,ila ungeishia kuwalaumu pekee mawakala ningekushangaa,. Umakini unakuwepo ila kuna siku tuu utaingia kwny 18 zao cheki mfano hzo msg kama una wateja wengi unasahau kuangalia salio kwa kubonyeza namba unaishia kuangalia salio la kwny msg
Wizi huu umekuwa mwingi, asilimia kubwa Ni kivuli cha tigopesa... Tingo Kuna Nini hasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Robidinyo akikujibu hapo niambieumeangalia kwenye Phonebook Yako Hakuna namba iliyoseviwa kwa jina la TIGOPESA?
Matapeli wa aina hiyo kwanza huanza kutoa pesa au kutuma kihalali halafu hutaka kuona message ya muamala uliofanyika ukimpa tu simu kwanza anaangalia Salio lililobaki halafu hu-save jina lake kwenye simu hiyo ya wakala hujisave mfano TIGOPESA, halafu hujidai anataka kutoa pesa ukimruhusu anakutumia message aliyoi-edit itakuja kwa jina la TIGOPESA.Kuna watu wawili wamekuja kutoa pesa kwangu 'wakala' .. wa kwanza katoa 450,000 na wa pili katoa 500,000 Wote hawa namba yao ni moja 252659 234042 lakini majina ni tofauti. Mmoja jina lilikuwa 'Daniel Michael' na wa pili jina lilikuwa ' Jonh Joseph'.
Wakati wa kutoa waliomba namba ya wakala na meseji kwangu ilikuja kawaida kama miamala mingine... na pia salio liliongezeka kama ilivyotakiwa.
Baada ya muda, kuangalia salio naona pungufu ndipo nikapiga simu tigo na kuambiwa kwamba hakuna miamala hiyo iliyofanyika.. sasa angalieni hizi picha na muweze kutoa majibu.
View attachment 1475195View attachment 1475196View attachment 1475197View attachment 1475199
Alafu voda huu ujinga siusikii kama tigo na airtelHuu mchezo huwa anahusishwa na mtu wa IT huko tigo na ndiyo anayetuma message ya uongo ya salio lako ambayo ndio unaona salio limeongezeka kumbe ni message hewa, mtu wa kwanza anapofanya muamala nia ni kupata jina la wakala na kumtajia huyo mtu wa IT huko Tigo ili kumuwezesha kuangalia details zako na ndiyo ataangalia salio lako kwenye Tigopesa ndio atakutumia message yenye kuonesha salio limeongezeka.
Kinga ni kuuliza salio kuhakiki salio baada kupokea message.
Mbona wewe huwa unatuchosha na thread zako ambazo hazina maana,bwege we!