HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,373
- 94,567
Kaibiwa kizembe
Jibu kama simu zako zilishikwa na hao matapeli, leo au days before...
Kama walizishika tafuta mtu anaitwa TIGOPESA kwa phonebook yako ukimkuta, liaaaaaa... Kisha endelea na bness, chukulia kuwa umelipa ada ya mafunzo as hutaibiwa tena na hakuna mtu atagusa yo phone again!